Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Nilimkubali Sana mh.Lowassa kwa maneno yake mafupi pale aliporudi CCM,nanukuu;πππ
Jifunze kuyajua mamboMimi "nimekalilishwa" wewe hujakaririshwa...
Uwe na asubuhi njema mtanzania mwenzangu,amin
Sawa mwalimu wanguπππJifunze kuyajua mambo
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?
Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.
Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.
Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.
Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
Jiwe limekuwa Rais lakini hoja zote alizozisema yuko sahihi.[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji119][emoji119][emoji119][emoji125][emoji125][emoji125]Jiwe limekuwa Rais lakini hoja zote alizozisema yuko sahihi.
Jiwe ni mtu wa idadi na sio ubora.
Jiwe hana sifa ya diplomasia
We ni wa wapi,yaani unajipima "mwenyewe" kuwa una AKILIππUliona mbali bado wenye akili hatumkubali huyu Kama raisi
Hivi Kuna waheshimiwa waliokuwa na DIPLOMASIA km AWAMU ILIYOPITA?!!!Jiwe limekuwa Rais lakini hoja zote alizozisema yuko sahihi.
Jiwe ni mtu wa idadi na sio ubora.
Jiwe hana sifa ya diplomasia
Nondo nzito..Tangu mwaka ulioanza kumpinga kuwa hatakuwa Raisi wa nchi hii, tokea hapo maneno yako yakawa ndio kibali cha yeye kuwa Rais na atakwendaaa Hadi 2025! Hayupo MWANADAMU ambaye anahatima ya mwingine, litambue Hilo ili karma isije kukuhukumu tena
So har hana sifa za kuwa rasi ndio maana kaanza kampeni mapema na wapinzani wamezuiwa,.Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?
Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.
Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.
Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.
Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
So har hana sifa za kuwa rasi ndio maana kaanza kampeni mapema na wapinzani wamezuiwa,.
Hajui siasa ila analazimisha siasa.
Magufuli siasa zake ni vigumu mno Kwa mpinzani yeyote kuzielewa na kuzimudu,! Yule sio kikwete, ni Magufuli, Chuma cha pua, mpenda nchi yake, anayekerwa na umaskini Kwa vitendo,anajua kusimamia senti Kwa senti, mwenye kuitazama nchi Kwa jicho la mbaaaali mno, sio level ya wapinzani uchwala, ni Mtanzania mwenye akiri nyingi na kipaji cha upekeeSo har hana sifa za kuwa rasi ndio maana kaanza kampeni mapema na wapinzani wamezuiwa,.
Hajui siasa ila analazimisha siasa.
.....Huyo aishi manula anadaka kama nyani........shiboub na pasi za mikogo huku kahata anasambaza wanaupataaaaaaaaa........Nauliza hivi kweli kuna mtu ambae hajawahi kua refered kwenda milembe anategemea au anawaza kwamba Magufuri atakua rais wa Tanzania?
Magufuri awe rais kwa kipi au sifa gani aliyonayo, what is special kwa magufuri.
Magufuri kua rais itakua ajabu au maajabu ya dunia,itakua ajabu mpya duniani,new world wonder na itakua kivutio cha utalii.
Only milembe refered individuals wanawaza kwamba Magufuri anaweza kua rais wa Tanzania. Magufuri kila alichokifanya alifanya chini ya kiwango, ni mtu wa idadi na sio ubora.
Unakuta anajisifu kwa mibarabara mirefu alafu mibovu,hana traits za uongozi,hana calibre ya uongozi,hana sifa ya uongozi. Magufuri anafaa kuongozwa na kupewa maelekezo sio yeye kuongoza. Hilo tuliona kipindi anakurupuka kufungia malori ikabidi waziri mkuu amuongoze,hana busara,hana diplomasia ambayo ndio sifa kuu moja wapp ya kiongozi mkuu.
Ni wendawazimu na vichaa tu wanaamini magufuri atakua raisi.
Mwenyezi Mungu alisaidie taifa letu hili liwe na VIJANA wenzetu wengi wenye fikra chanya km zako,aamin rabbil aaalamin!Magufuli siasa zake ni vigumu mno Kwa mpinzani yeyote kuzielewa na kuzimudu,! Yule sio kikwete, ni Magufuli, Chuma cha pua, mpenda nchi yake, anayekerwa na umaskini Kwa vitendo,anajua kusimamia senti Kwa senti, mwenye kuitazama nchi Kwa jicho la mbaaaali mno, sio level ya wapinzani uchwala, ni Mtanzania mwenye akiri nyingi na kipaji cha upekee
Mimi Hadi hivi sasa nimekuwa na maswali meeengi kuhusiana na tawala zilizopita
Ikiwa leo tuna Miradi miiiingi inayoendelea kujengwa na iliyokwisha kujengwa kipindi tu cha miaka mitano na Wakati huohuo Watu wanajatibu kulinganisha tawala zilizopita zilizotumika Kwa miaka kumi na utawala wa miaka mitano Tu!!!
Je, kipindi hicho pesa zetu zilikuwa zinaenda wapi? Je, endapo tungelikuwa na Uongozi wa Aina hii tokea mwanzo Leo tungelikuwa wapi?
Magufuli, Watanzania hawatakulipa kabisa, wewe utalipwa Mungu Tu! Sisi Zawadi yetu ni kukupa Kura ndio malipo yetu