Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta pesa bila shaka utampataUmeona faith mi kwamza najiuliza ntampataje
hajaacha asili yao sio mchoyo kama wanyaturu wenzieToto la Singida hilo
Huna pesa tafuta kwanza pesa maana ungekuwa na pesa hadi kulala ungekuwa umeishalala naePesa ninayo nishafanya juhudi za kutosha siipati hata namba yake
Ahahaaaaaaah...Iyo Picha ya tano sio ya wema naona mahaba yamekuzidi mpka unaamuwa kuchukua watu wenye mtako wa maaaana kufidia mtako wa hovyohovyo wa sepenga.
HeheView attachment 394018
Ahahaaaaaaah...
Hata mimi nilikua najiuliza mkuu..!!!
Sepenga angekua na KICHUGUU cha namna hii bila shaka hata MIMI ningemtafuta..!!!
Huyu sio Wema kwenye hii picha, huyu anaitwa Tuerny wamefanana sana, huyu Tuerny ni mrembo sana kama Luna MTU ana namba yake anipm[emoji14] [emoji13]![]()
HUYU ALIKUWA MREMBO HASWA, NATURAL.
picha ya tano sio WemaTukubali Dada huyu hata kama mnamponda lakin kuna namna moja au nyingine alikugusa kihisia,
Hebu tupia picha yake iliyokugusaa View attachment 393990View attachment 393991View attachment 393996View attachment 393997View attachment 393998View attachment 393999
Pia mwenye namba yake ani PM maana Ninaplan kuwa na project naye
[emoji23] [emoji23] [emoji23] alikua mtotonahisi kuna kipindi alikula hamira maana hyo picha ya beach alikua amekauka au labda utoto