Ni mojawapo ya kazi ya Asprin...Angalizo: Napunguza stress kwa jinsia moja tu. Jinsia yako, onana ma mama Big mtaa wa pili kule.:smile-big::smile-big::smile-big:
Wewe ukiwa mmojawapo.............:tape::tape::tape:
baadhi ya premuim member ndio utashangaa wanaongoza kwa uozo, yaani wanajiona wao kama wapo humu miaka kadhaa bac wao ndio kila kitu, uliingia mwaka jana/leo bac huna hujualo....yaani kuna watu wa ajabu sana....
Asante ila wewe c mmoja wao , kuna mmja anajifanya yeye ndio great phylosopher yaani kila thread anaikosoa mara lugha mra muonekano, mara tittle mara maneno, mara anakwambia ulikuwa na haraka wakati wa kupost yaani ilimradi tafrani we acha tu- utadhani hii forum iliwekwa kwa ajili yao
ha haaa mh uji walima, makande na kucheua jamani vimevunja mbavu, mtu akila makande anywe nauji wa limao sipati picha akicheua itakuaje.asante sana Maty.....kuna baadhi ya watu humu wana fustration zao wanakuja kucheulia wengine makande yao na uji wa limao...ovyoo kabisa.
hahaha hahhaa raha kweli kweli
asi naish MEREKANI MIMI BASI NIKITOKA KAZINIKWANGU KULE KUBEBA MABOKS WEEEEEEE NAKUWA NA HASIRA yan kila kitu naona kosa tuuuuuuu !!!!!!!!
kwan wewe haubeb maboks......hahah hahhaaaaaaaaa hasira znakuja na necha ya kaz nayofanya.........:yield::yield::yield:
DC...nawe umezidi kuwa wa mjini sana...lol, ni pombe ya kienyeji, kama mnazi au mbege...haaaa,nimefurahi kukuona tena.
Hii gari ya mamaaa!
Maty nakupenda sana. kama mwanangu na kama Rafiki. Ahsante kama mimi ni sehemu ya furaha na kishusha stress chako. Siku bosi akikukera halafu JF ikagoma kufunguka...meza vidonge viwili vya asprin, nitaingia ndani ya tumbo lako na kufanya the needful. Ila ukipata mimba, mi simo.
Location ya Asprin ni Martenity Ward. Karibuni kina mama wazazi niwahudumie.
hahahaaaaaaa ulijuaje mzazi ukajipa jina la aspirini yaani siku mkoloni akiniudhi halafu JF ikigoma kufunguka sio siri huwa namesaga viasipirn viwili (yaani usiombe uwe na stress halafu JF nayo inagoma walahi huwa natamanigi kummesa infisibo) halaf baba utamsaidiaje da sofi hujaona anavyolalamika?
hahahaaaaaaa ulijuaje mzazi ukajipa jina la aspirini yaani siku mkoloni akiniudhi halafu JF ikigoma kufunguka sio siri huwa namesaga viasipirn viwili (yaani usiombe uwe na stress halafu JF nayo inagoma walahi huwa natamanigi kummesa infisibo) halaf baba utamsaidiaje da sofi hujaona anavyolalamika?
mmh..Maty...hebu leave babu alone bana......hahahahaha
mmh..Maty...hebu leave babu alone bana......hahahahaha
hahahaaaaaaa ulijuaje mzazi ukajipa jina la aspirini yaani siku mkoloni akiniudhi halafu JF ikigoma kufunguka sio siri huwa namesaga viasipirn viwili (yaani usiombe uwe na stress halafu JF nayo inagoma walahi huwa natamanigi kummesa infisibo) halaf baba utamsaidiaje da sofi hujaona anavyolalamika?
lakini mbona mimi nilimuona kaizer anatokea gest nikamuuliza tu kwa upole huko umetoka kufanya nini? na akanielewaa akanijibu katoka kuongeza stress je ingekua si ustarabu nikitu kizuri sijui ingekuaje.Na kaizer Je RR umemsahau :smile:
nikibadili avatar na wewe utaacha kutembelea mkongojo?Kwa mamlaka niliyopewa na jamhuri ya watakatifu... we binti hebu badili avatar yako
Kabla babu hajatumbukia jehanam.
Asante ila wewe c mmoja wao , kuna mmja anajifanya yeye ndio great phylosopher yaani kila thread anaikosoa mara lugha mra muonekano, mara tittle mara maneno, mara anakwambia ulikuwa na haraka wakati wa kupost yaani ilimradi tafrani we acha tu- utadhani hii forum iliwekwa kwa ajili yao
Hivo mi nilikua cjui hilo lol sa mie nnaefundisha chekechea nikija na hasira za uko watoto wamenisumbua we c itakua balaaaaaa anyways yote maisha kikubwa ni kujirekebisha tu
mmh..Maty...hebu leave babu alone bana......hahahahaha
nikibadili avatar na wewe utaacha kutembelea mkongojo?