Hahahaa kaizer huyo babu yako mi ni baba angu tulipoteana miaka mingi sasa ndio nimemuona bado bado nina hamu nae nimelelewa na ba wa kambo sasa nimemuona baba angu wa kweli nna furaha ajabu
maboks nabebea temeke stereo nyuma ya tandika mbele ya mton kwa aziz ali pemben ya kisemvule...baloz wangu necha...mmea wa asili ni ...Mbona na mimi naishi USA, jimbo la Manzese, Mtaa wa Tandale bababara namba 0, Zip code ni "MBEGE". Tunaweza kuonana baada ya maboksi tupate subu ya kongoro?
Bila mkongojo babu atatembeaje? Au utatembea na mimi?
Hey Matty &Co,
Naomba tuwe waungwana kwa kuwataja kwa majina hao watu(hutapewa ban', maana nia yake ni kurekebisha jukwaa, na pia ni kwa faida ya Invizibo!)
Kusemsa tatizo bila kuwalenga wanaolisababisha ni 1/4 ya ufumbuzi!..Tuchukue ustaarabu kwa kuwataja baadhi au wote , kama noma na iwe noma!
Mimi nitaanza na mmoja....mnaniruhusu?
maboks nabebea temeke stereo nyuma ya tandika mbele ya mton kwa aziz ali pemben ya kisemvule...baloz wangu necha...mmea wa asili ni ...
zp code machoz ya simba....ukimwona mmama mnenemfup mwembama ndo mama baloz wetu
cool down PJ tunataka JF iwe sehemu ya amani na ya kupunguzia stress so kutajana itakua kama inaamsha kaugomvi vile so kama una unaemjua ipotezeee tu bro (Hv we ni she au he) ndio maana nikatolea mfano kwa hawa aspirin na DC wanakusema in such a way ni wewe mwenyewe unajua hapa nimesemwa ila wengine wanaona kichekesho tu kumbe msg sent tudumishe upendo na amani ili tuendelee kuifurahia JF
Kwa maana ipi?
Hebu fafanua vizuri hata sisi wababu tukuelewe mzee mwenzangu!
Babu mwenzangu, soma katikati ya mistari hapo.
Fanya kama enzi zetu zile za Juma na Roza.
Maty mbona unauliza majibu? Babu mzima kabisa unamuuliza kama jinsia yake ina utata?
Naamini PJ atakusamehe kwa kuwa tayari nimekuombea msamaha mjuu wangu!
Duuuu..Umenikumbusha mbali mzee mwenzangu..Wambie wakupe kilaji...Bill nitaifanyia kazi!
Wewe umasalimika na dhahama ya Dodoma?
Tatizo kuna mijitu itatafsiri vibaya hapo, na mingine itanionea wivu. Ila sisi tuendelee na yetu...
Mtoto hapigiwi kura.....
aaa baba waache watafsiri tu wapendavyo yaani hamu na ww haiishi tu ngoja nikatafute ndimu napilipili nikutafune pamoja navyo labda ndio itaisha lol (cjui nikuchanganye pia na uji wa limao na makande nafikiri itakua lunch murua JF rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa)
aaa baba waache watafsiri tu wapendavyo yaani hamu na ww haiishi tu ngoja nikatafute ndimu napilipili nikutafune pamoja navyo labda ndio itaisha lol (cjui nikuchanganye pia na uji wa limao na makande nafikiri itakua lunch murua JF rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa)
Kwa maana ipi?
Hebu fafanua vizuri hata sisi wababu tukuelewe mzee mwenzangu!
tatizo lenu nyie wazee lugha zenu ngumu sana.sijui ni moja ya matatizo ya uzeeni,kama ndio hivyo mie sitaki kuzeeka ntangangania kubaki kijana.
halafu DC kuna 'inshu' moja hivi unadhani imekwisha lkn bado inaindelea.
tatizo lenu nyie wazee lugha zenu ngumu sana.sijui ni moja ya matatizo ya uzeeni,kama ndio hivyo mie sitaki kuzeeka ntangangania kubaki kijana.
halafu DC kuna 'inshu' moja hivi unadhani imekwisha lkn bado inaindelea.
Da Sophy ntahitaji msaada wa roho mtakabivu. unajua mimba za mchana huwa zina aleji na asprin. hasa kama ilipatikana kipindi cha manyunyu. yule ntamkabidhi mama Big ampeleke kwa wakunga wa jadi. hospitalini tumefulia.:doh::doh::doh:
asante.kuna watu wengine ni jadi yao kugombana na keyboard na kutoa mapovu