Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Huo utakua mpira wa kikapuAggregate itasoma 10-1.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo utakua mpira wa kikapuAggregate itasoma 10-1.
Ulimbukeni ushanishinda..Sawa
😂😂Wakiweka majini pembeni mbona wanapigika tuu hao Utomajini?
Ni mapenzi tuu...hahaahaha nikute live sasa hakuna anaejua naandika hivi kuhusu Simba..ndo uzuri wa kutojulikana... 😂 😂 😂 😂😂😂
Ukisikia iron lady ndio wewe maana sio kwa moyo mgumu huu. Simba wekulipa nini wewe?
Dahh..nimecheka kwakwel. Kwahiyo yakiwekwa pembeni majini, Yanga anakaliaNi mapenzi tuu...hahaahaha nikute live sasa hakuna anaejua naandika hivi kuhusu Simba..ndo uzuri wa kutojulikana... 😂 😂 😂 😂
Mapema sanaa...hahaha au droo zinatembea..Dahh..nimecheka kwakwel. Kwahiyo yakiwekwa pembeni majini, Yanga anakalia
Kwa hio champions League ndio mbovu?Simba sio mbovu kama mnavyofikiri ni kwamba ligi ya Bongo imekua sana , Simba ukimuangalia kinyumbani ni mbovu lakini kimataifa bado yuko vizuri sababu ligi yetu iko juu sana sasa hivi.
Mechi ya Simba na Yanga ni ngumu tu hata mmoja akiwa mbovu. Simba ashamfunga Yanga 6 ,5 na Yanga ashamfunga Simba 5-1 lakini mechi yoyote ya Timu hizi huwezi tabiri kirahisi mshindi .
Vyovyote vile ulivyoelewa, lakini alichoongea ndio ukweli wenyewe, Simba hana timu ya kupishana na Yanga.Nimesoma comments zote na nikagundua kuwa sisi mashabiki wa daima mbele nyuma mwiko hatujachunguza na kubaini kitu kuhusu mtoa mada amejitolea kututukana kwa rejareja.
Binafsi sikubaliani kabisa na hoja za huyu popoma.
Wana Yanga wenzangu tuweni macho maadui ni wengi.
Ila IHEFU wana kikosi cha kucheza na UTOBinafsi nisiwafiche kwani sitaki na wala sitamami kwa sasa kwani Kiufundi kwa sasa Simba SC hatuna Kikosi thabiti cha Kucheza na Yanga SC iliyoko Relini na ya Moto kila Idara.
Kama hawawezi kukutana robo basi ujue haiwezekani hadi fainali, maana walioshika nafasi za pili kwenye group wanakaa upande mmoja na walioshika nafasi za kwanza wanakaa upande mwingineLabda kuanzia nusu fainali huko ila kwa robo fainali ni ngumu sana team zilizomaliza makundi katika nafasi ya pili kukutana.
Hahahahahahahahahahahahaahahahahahaha.......mkuu.uzi huu, Ulitakiwa uulete hapa siku ilee ya pakome.Binafsi nisiwafiche kwani sitaki na wala sitamami kwa sasa kwani Kiufundi kwa sasa Simba SC hatuna Kikosi thabiti cha Kucheza na Yanga SC iliyoko Relini na ya Moto kila Idara.
hivi mnajua kuwa simba imeuzwa?Binafsi nisiwafiche kwani sitaki na wala sitamami kwa sasa kwani Kiufundi kwa sasa Simba SC hatuna Kikosi thabiti cha Kucheza na Yanga SC iliyoko Relini na ya Moto kila Idara.
Unaongelea ushindi wa 6 ambao ni wa zamani namna hiyo, ushindi wa 4-1 ambao yanga ilikua inatembeza bakuli.Simba sio mbovu kama mnavyofikiri ni kwamba ligi ya Bongo imekua sana , Simba ukimuangalia kinyumbani ni mbovu lakini kimataifa bado yuko vizuri sababu ligi yetu iko juu sana sasa hivi.
Mechi ya Simba na Yanga ni ngumu tu hata mmoja akiwa mbovu. Simba ashamfunga Yanga 6 ,5 na Yanga ashamfunga Simba 5-1 lakini mechi yoyote ya Timu hizi huwezi tabiri kirahisi mshindi .