ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Sasa wanakomoanaje paprika,hebu fafanua tafadhali.Hwengi wenu hamjiamini... Na mnagegeda kwa akukomoana!!!
Mkuu,kuna wengine huwa hawatosheki tu,hata ukikesha naye asubuhi unamkuta kwingine.Achana na matangazo kapate tiba mkuu usije mshika mkeo ugoni
Sio yeye ni pepo iloMkuu,kuna wengine huwa hawatosheki tu,hata ukikesha naye asubuhi unamkuta kwingine.
Hilo nalo neno !!Sio yeye ni pepo ilo
Yaani wanataka kumgegeda msichana kama wapo kwenye mashindanoSasa wanakomoanaje paprika,hebu fafanua tafadhali.
Lakini hata na wasichana nao siku hizi hawatosheki sijui,labda wanaanza mapema mno.Yaani wanataka kumgegeda msichana kama wapo kwenye mashindano
Wasichana hatutosheki sababu yenu!!! Mmeweka kipaumbele sana kwenye kupiga magoli mnasahau kua jinsi ya kuenjoy sex tumetofautiana na wanaume.Lakini hata na wasichana nao siku hizi hawatosheki sijui,labda wanaanza mapema mno.
Mpaka wafie kwenye vifua vyetu ndio watapata adabu na akili zitawarudia [emoji57][emoji57]Wengi wenu hamjiamini... Na mnagegeda kwa akukomoana!!!
Huenda ni kweli hamchezewi itoshavyo,lakini je mnajua kuhamamasisha michezo? MC mbaya = sherehe mbaya.Wasichana hatutosheki sababu yenu!!! Mmeweka kipaumbele sana kwenye kupiga magoli mnasahau kua jinsi ya kuenjoy sex tumetofautiana na wanaume.
Kwa mwanamke maandalizi ni nusu ya tendo lenyewe, yaani ukipelea kwenye maandalizi ata umtwange saa nzima anaweza akatoka mtupu!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]Yaani wanataka kumgegeda msichana kama wapo kwenye mashindano
Mtu anaweza akawa hana matatizo ila kwasababu ya story anazosikia kwa wengine anajiona kama hagegedi kisawasawa...
KweliWasichana hatutosheki sababu yenu!!! Mmeweka kipaumbele sana kwenye kupiga magoli mnasahau kua jinsi ya kuenjoy sex tumetofautiana na wanaume.
Kwa mwanamke maandalizi ni nusu ya tendo lenyewe, yaani ukipelea kwenye maandalizi ata umtwange saa nzima anaweza akatoka mtupu!!!
lishe duni ckuiz ndomaana wanakimbilia kwa hao wapiga diliNianze na Salam.
Nimebahatika kusafiri kidogo hapa nchini kwetu,kusini,kaskazini,magharibi mpaka mashariki. Tangazo kubwa ninaloliona kwenye miti na mistimu ya umeme ni la waganga wakienyeji wakinadi uwezo wao wa kurudisha hashima ya ndoa.Jamani hivi nguvu za kijinsia limekuwa ni tatizo kiasi hiki,au tunazidisha mambo?