Great thinkers tunasema;Kila nikiifikiria hii nchi yetu na DUNIA kwa ujumla napatwa na hasira kali sana na ninachanganyikiwa,
sasa nshaamua kushughulika na yangu.
That's why I said i am focusing on my stuff meaning i am changing myself...Great thinkers tunasema;
Sart with a man in the mirror
and ask him to change his ways. NO MASSAGE COULD'VE BEEN ANY CLEARER
If you wanna make the world a better place just look at yourself and make a CHANGE.
Kwan ni mbunge gan wa CCM anaepingana na serikali kwaajil ya maslahi ya wananchi? Bunge zima wapo kwaajil ya maslahi ya gavoo!!hechejohn
Hivi ccm huwa inatoa wapi wabunge wajinga wa kiwango hiki!!!!! Imagine huyu ni kijana, kwasababu ya mshahara mkubwa na Posho hajui jinsi maisha yalivyo magumu kwa watu..
Bado anataka kuongeza mzigo!!!
Pesa zipo za kutosha lakini zinaibiwa kwasababu ya wajinga kama huyu Kushindwa kutimiza wajibu wao wa kibunge na kusimamia matumizi ya pesa za umma kama tax payers representatives….
Yaani ripoti ya CAG inaonesha matrilioni ya fedha za umma yalivyoibiwa…
Mfano TRC ujenzi wa lot namba 3 na 4 Kuna hasara ya zaidi ya trilioni 1.7, Bado haujazungumzia manunuzi ya Locomotives (mabehewa) hapo haujazungumzia halmashuri zetu zote, haujazungumzia uchafu kama wa TTCL wala ATCL wala manunuzi mbalimbali ya Serikali.
Haya yote yanatokea kwasababu ya bunge dhaifu ambalo kwa niaba ya Wananchi lilipaswa kusimamia matumizi ya fedha yafanyike vizuri lakini wajinga kama Jerry wameshindwa kazi hiyo matokeo yake wanataka serikali iongeze mzigo juu ya Wananchi ambao hata kula yao sasa ni shida kutokana na mzigo wa gharama za maisha.
Bajeti hiyo ya Tamisemi anayochangia Serikali imetenga bilioni 16 ili kununua MAVX mapya kwa wakuu wa mikoa yale yaliyopo sasa hayafai wakuu wanataka mapya…. Hili kwa Jerry anaona ni sawa lakini masikini akamuliwe zaidi kwasababu ya anasa na maisha ya juu kwa viongozi..
Hawa hawa Wananchi wana michango lukuki ya kujenga, shule zahanati, vituo vya afya ambayo hii yote ni kazi ya Serikali kwa kodi zetu… lakini zinaibiwa Wananchi wanafanya wajibu usio wao.
Mchele kg 1= 3,200sh
Sukari kg 1 = 3,000sh
Maharage = 3,000sh
Sababuni na kila kitu bei iko juu,
Jerry anaejiita muwakilishi wa Wananchi anaona bado huo mzigo ni kidogo anataka waongezewe hela ili wakaibe zaidi!!!!!
Shame on you Jerry Slaa, kwa taarifa yako punda amechoka hawezi kubeba zaidi, watu kama wewe hamfai kuwakilisha Wananchi manga’s kujiwakilisha na matumbo yenu…
CCM NI JANGA kwa Nchi
Saying those words was jus to agree with you on your conclusion. Pamoja sanaThat's why I said i am focusing on my stuff meaning i am changing myself...
Huyu mbunge ni mpuuzi!hechejohn
Hivi ccm huwa inatoa wapi wabunge wajinga wa kiwango hiki!!!!! Imagine huyu ni kijana, kwasababu ya mshahara mkubwa na Posho hajui jinsi maisha yalivyo magumu kwa watu..
Bado anataka kuongeza mzigo!!!
Pesa zipo za kutosha lakini zinaibiwa kwasababu ya wajinga kama huyu Kushindwa kutimiza wajibu wao wa kibunge na kusimamia matumizi ya pesa za umma kama tax payers representatives….
Yaani ripoti ya CAG inaonesha matrilioni ya fedha za umma yalivyoibiwa…
Mfano TRC ujenzi wa lot namba 3 na 4 Kuna hasara ya zaidi ya trilioni 1.7, Bado haujazungumzia manunuzi ya Locomotives (mabehewa) hapo haujazungumzia halmashuri zetu zote, haujazungumzia uchafu kama wa TTCL wala ATCL wala manunuzi mbalimbali ya Serikali.
Haya yote yanatokea kwasababu ya bunge dhaifu ambalo kwa niaba ya Wananchi lilipaswa kusimamia matumizi ya fedha yafanyike vizuri lakini wajinga kama Jerry wameshindwa kazi hiyo matokeo yake wanataka serikali iongeze mzigo juu ya Wananchi ambao hata kula yao sasa ni shida kutokana na mzigo wa gharama za maisha.
Bajeti hiyo ya Tamisemi anayochangia Serikali imetenga bilioni 16 ili kununua MAVX mapya kwa wakuu wa mikoa yale yaliyopo sasa hayafai wakuu wanataka mapya…. Hili kwa Jerry anaona ni sawa lakini masikini akamuliwe zaidi kwasababu ya anasa na maisha ya juu kwa viongozi..
Hawa hawa Wananchi wana michango lukuki ya kujenga, shule zahanati, vituo vya afya ambayo hii yote ni kazi ya Serikali kwa kodi zetu… lakini zinaibiwa Wananchi wanafanya wajibu usio wao.
Mchele kg 1= 3,200sh
Sukari kg 1 = 3,000sh
Maharage = 3,000sh
Sababuni na kila kitu bei iko juu,
Jerry anaejiita muwakilishi wa Wananchi anaona bado huo mzigo ni kidogo anataka waongezewe hela ili wakaibe zaidi!!!!!
Shame on you Jerry Slaa, kwa taarifa yako punda amechoka hawezi kubeba zaidi, watu kama wewe hamfai kuwakilisha Wananchi manga’s kujiwakilisha na matumbo yenu…
CCM NI JANGA kwa Nchi
heche ni mtu mpumbavu sana hasira za kukosa ubunge zitamuuahechejohn
Hivi ccm huwa inatoa wapi wabunge wajinga wa kiwango hiki!!!!! Imagine huyu ni kijana, kwasababu ya mshahara mkubwa na Posho hajui jinsi maisha yalivyo magumu kwa watu..
Bado anataka kuongeza mzigo!!!
Pesa zipo za kutosha lakini zinaibiwa kwasababu ya wajinga kama huyu Kushindwa kutimiza wajibu wao wa kibunge na kusimamia matumizi ya pesa za umma kama tax payers representatives….
Yaani ripoti ya CAG inaonesha matrilioni ya fedha za umma yalivyoibiwa…
Mfano TRC ujenzi wa lot namba 3 na 4 Kuna hasara ya zaidi ya trilioni 1.7, Bado haujazungumzia manunuzi ya Locomotives (mabehewa) hapo haujazungumzia halmashuri zetu zote, haujazungumzia uchafu kama wa TTCL wala ATCL wala manunuzi mbalimbali ya Serikali.
Haya yote yanatokea kwasababu ya bunge dhaifu ambalo kwa niaba ya Wananchi lilipaswa kusimamia matumizi ya fedha yafanyike vizuri lakini wajinga kama Jerry wameshindwa kazi hiyo matokeo yake wanataka serikali iongeze mzigo juu ya Wananchi ambao hata kula yao sasa ni shida kutokana na mzigo wa gharama za maisha.
Bajeti hiyo ya Tamisemi anayochangia Serikali imetenga bilioni 16 ili kununua MAVX mapya kwa wakuu wa mikoa yale yaliyopo sasa hayafai wakuu wanataka mapya…. Hili kwa Jerry anaona ni sawa lakini masikini akamuliwe zaidi kwasababu ya anasa na maisha ya juu kwa viongozi..
Hawa hawa Wananchi wana michango lukuki ya kujenga, shule zahanati, vituo vya afya ambayo hii yote ni kazi ya Serikali kwa kodi zetu… lakini zinaibiwa Wananchi wanafanya wajibu usio wao.
Mchele kg 1= 3,200sh
Sukari kg 1 = 3,000sh
Maharage = 3,000sh
Sababuni na kila kitu bei iko juu,
Jerry anaejiita muwakilishi wa Wananchi anaona bado huo mzigo ni kidogo anataka waongezewe hela ili wakaibe zaidi!!!!!
Shame on you Jerry Slaa, kwa taarifa yako punda amechoka hawezi kubeba zaidi, watu kama wewe hamfai kuwakilisha Wananchi manga’s kujiwakilisha na matumbo yenu…
CCM NI JANGA kwa Nchi
Shujaa alikuwa shetani kupita kiasiSlaa alipewa Ubunge na Shujaa Magufuli kama Pole kwa yaliyomkuta Deo 2015!
itawakamataje wakati mfumo wote uko hivo?ili wakamatwe ni lazima mifumo ibadilike na ili ibadilike tuanze na katiba kwanza.utasubiri mafisadi yakamatwe lkn kwa taarifa yako hakuna kitakachoendelea.lissu kakuambia watu ni wale wale na chama ni kile kile business as usual.Wanachohitaji wananchi kwa sasa sio malumbano kati ya wanasiasa awe Jerry, Heche au nani. Tunataka wezi wa CAG wakamatwe na Serikali ikishindwa tutawakamata wenyewe maana tunawajua kwa majina na anuani ya makazi yao.
mjinga tena so unakubaliana na tozo!heche ni mtu mpumbavu sana hasira za kukosa ubunge zitamuua
Achana na hizo akili za kukata tamaa; real fighters never quit. Quitters have never achieved anything. Fight as though your whole life depended on it.Mkuu uko sahhi, lakinh what should i do., hata nikienda polling station sitabadili kitu..