Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Soma vyema ndugu acha papara zako.Mkuu Mzee Mtei ni mgonjwa sana as far I know, amefanya mazungumzo na Lissu lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vyema ndugu acha papara zako.Mkuu Mzee Mtei ni mgonjwa sana as far I know, amefanya mazungumzo na Lissu lini?
Umeshasema TilaLila... Maana yake yeye muda wote yupo tungi, sasa unatarajia ataandika nnBora huyu
Yupo yule Tilalila na maandiko yake
Mostly likely huna hakika na habari umeweka.Waulize akina Rose na Hilda mi sinaga huo muda Mdogo Mdogo 🐼
Samahani lakini
Umesoma kweli hata andiko hili?Mkuu Mzee Mtei ni mgonjwa sana as far I know, amefanya mazungumzo na Lissu lini?
Mkuu, ninaweza nikawa sina hii habari.Umesoma kweli hata andiko hili?
Hakuna mahali imeandikwa kuwa Mzee Mtei amefanya mazungumzo na Lissu, soma vizuri uelewe na sikiliza video iliyoambatishwa hapo post # 1.Mkuu Mzee Mtei ni mgonjwa sana as far I know, amefanya mazungumzo na Lissu lini?
Kama umelewa mbege hilo siyo tatizo langu 😄Mostly likely huna hakika na habari umeweka.
Pia nikikumbushe, lengo la JF ni watu kujadiliana na kuuliza maswali.
Heche ni kiongozi na mwanasiasa mzuri sana. Lakini ulishiriki katika hayo mazungumzo maana Heche hakuyasema unayoyasema.Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche
Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine
Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu
Nawatakia Sabato njema😀
====
"Chama chetu kipo pamoja na nyie na uongozi wetu wote mpya naleta salamu za mwenyekiti wetu Tundu Lissu. Mzee mtei alisajiliwa kidijitali, kadi namba moja ya chama chetu anayo mzee Edwin Mtei kwahiyo tutaileta kwa heshma kabisa na hafla" - John Heche, Makamu Mwenyekiti Chadema
View attachment 3245134
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Yepi? 🐼Heche ni kiongozi na mwanasiasa mzuri sana. Lakini ulishiriki katika hayo mazungumzo maana Heche hakuyasema unayoyasema.
Amandla...
Huyu ni sawa na Tumbili sema yeye ni MzeeIla John mfukunyuku sana. Kimwili upo CCM ila kiroho CHADEMA🤣🤣🤣🤣
Chadema inahitaji michango yenu Bwashee 😄Huyu ni sawa na Tumbili sema yeye ni Mzee
Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche
Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine
Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu
Nawatakia Sabato njema😀
====
"Chama chetu kipo pamoja na nyie na uongozi wetu wote mpya naleta salamu za mwenyekiti wetu Tundu Lissu. Mzee mtei alisajiliwa kidijitali, kadi namba moja ya chama chetu anayo mzee Edwin Mtei kwahiyo tutaileta kwa heshma kabisa na hafla" - John Heche, Makamu Mwenyekiti Chadema
View attachment 3245134
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
We Mzee Mtei umemuona hapo?Hayo maneno mazuri ya kuupa moyo uongozi mpya wa chadema.
Uliyosema kuwa Mtei kasema kuhusu uongozi mpya wa CDM.Yepi? 🐼
na huyo kiongozi anavyopenda kubeti, uskute hapo hapo badala ya kumsalimia Mzee, yeye anaweza kua ana suka mkeka wa leo 🐒Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche
Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine
Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu
Nawatakia Sabato njema😀
====
"Chama chetu kipo pamoja na nyie na uongozi wetu wote mpya naleta salamu za mwenyekiti wetu Tundu Lissu. Mzee mtei alisajiliwa kidijitali, kadi namba moja ya chama chetu anayo mzee Edwin Mtei kwahiyo tutaileta kwa heshma kabisa na hafla" - John Heche, Makamu Mwenyekiti Chadema
View attachment 3245134
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Huyo ana ubishi kama wa yule kapuku Lucas Mwashambwa .Kama umelewa mbege hilo siyo tatizo langu 😄