Pre GE2025 Heche amtembelea muasisi wa Chadema, Mzee Ewdin Mtei

Pre GE2025 Heche amtembelea muasisi wa Chadema, Mzee Ewdin Mtei

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umesoma kweli hata andiko hili?
Mkuu, ninaweza nikawa sina hii habari.

Swali nililouliza ni rahisi tu. Mzee Mtei ameupongeza ungozi wa Chadema lini na chanzo cha hii taarifa ni ipi. Unaweza kunijuza?
 
Huwa kila nikimuangalia Heche ni kama anafanana kwa sura na Hayati Sheikh Amani Abeid Karume wakati wa ujana wake sijui ninyi wenzangu mnasemaje?!
Sheik Abeid Karume, the first President of Zanzibar, an ex-deckhand who seized power after the...jpg
 
Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche

Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine

Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu

Nawatakia Sabato njema😀

====
"Chama chetu kipo pamoja na nyie na uongozi wetu wote mpya naleta salamu za mwenyekiti wetu Tundu Lissu. Mzee mtei alisajiliwa kidijitali, kadi namba moja ya chama chetu anayo mzee Edwin Mtei kwahiyo tutaileta kwa heshma kabisa na hafla" - John Heche, Makamu Mwenyekiti Chadema
View attachment 3245134

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Heche ni kiongozi na mwanasiasa mzuri sana. Lakini ulishiriki katika hayo mazungumzo maana Heche hakuyasema unayoyasema.

Amandla...
 
Chadema Chama makini na imara
Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche

Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine

Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu

Nawatakia Sabato njema😀

====
"Chama chetu kipo pamoja na nyie na uongozi wetu wote mpya naleta salamu za mwenyekiti wetu Tundu Lissu. Mzee mtei alisajiliwa kidijitali, kadi namba moja ya chama chetu anayo mzee Edwin Mtei kwahiyo tutaileta kwa heshma kabisa na hafla" - John Heche, Makamu Mwenyekiti Chadema
View attachment 3245134

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Muasisi wa Chadema mh Mtei ameupongeza Uongozi mpya wa Chadema Chini ya Tundu Lisu na John Heche

Mtei amesema hayo Wakati wa mazungumzo yake na makamu Mwenyekiti wa Chadema mh John Heche na Viongozi Wengine

Mzee Mtei amesisitiza hii ndio Chadema iliyo moyoni mwake na ana Imani kubwa na Tundu Antipas Lisu

Nawatakia Sabato njema😀

====
"Chama chetu kipo pamoja na nyie na uongozi wetu wote mpya naleta salamu za mwenyekiti wetu Tundu Lissu. Mzee mtei alisajiliwa kidijitali, kadi namba moja ya chama chetu anayo mzee Edwin Mtei kwahiyo tutaileta kwa heshma kabisa na hafla" - John Heche, Makamu Mwenyekiti Chadema
View attachment 3245134

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
na huyo kiongozi anavyopenda kubeti, uskute hapo hapo badala ya kumsalimia Mzee, yeye anaweza kua ana suka mkeka wa leo 🐒
 
Back
Top Bottom