Mjaluo ni tapeli tangia yupo Chuo Cha ualimu butimba (TTC)Hajui anacho kisema
Jamaa ni Mpiga deal 🏃🏃🏃Kavuta pesa ndefu ya udalali.
Vita ni Kali sana hiiJamaa ni Mpiga deal 🏃🏃🏃
Mbowe apumzike..nimemsikiliza lema,lissu,heche, msigwa...Vita ni Kali sana hii
Siasa za CHADEMA ni moto, don't try this at home
kiongozi muandamizi wa chadema alieshindwa uchaguzi amepanic sio baada ya ukweli kuwekwa wazi wenje?View attachment 3203498
Hiki ndicho alichokiandika John Heche muda mfupi baada ya Press Release ya Ezekiah Wenje
Nani atabeti?kiongozi muandamizi wa chadema alieshindwa uchaguzi amepanic sio baada ya ukweli kuwekwa wazi wenje?
leo sijui kama atabeti
Huenda kuna kingine anachotegemea kitampa ushindi ukitoa hiyo 'timu,' yake.Mbowe kachagua timu mbovu ili wamsaidie
Huna hoja chawa wa ccm wewe.kiongozi muandamizi wa chadema alieshindwa uchaguzi amepanic sio baada ya ukweli kuwekwa wazi wenje?
leo sijui kama atabeti
hoja imetolewa na wenje kwamba ati viongozi waandamizi wa chadema wanao muunga mkono kibaraka ni wale walioshindwa uchaguzi kwenye maeneo yao ni kweli au sio kweli?Huna hoja chawa wa ccm wewe.
Cha ajabu chawa wa kijani ndio wapiga debe wa Wenje na Sultani Mbowe
Mbona Heche hakanushi kuhusu Lema kuwa,mwenyekiti wa Join the Chain? Anakwepa niniView attachment 3203498
Hiki ndicho alichokiandika John Heche muda mfupi baada ya Press Release ya Ezekiah Wenje