Heche: Lissu hajaivua CHADEMA nguo, anawavua nguo wala rushwa. Anaipenda sana CHADEMA

Heche: Lissu hajaivua CHADEMA nguo, anawavua nguo wala rushwa. Anaipenda sana CHADEMA

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
John Heche akiongea na Waandishi wa habari leo Januari 05, 2024 amesema Tundu Lissu anayewania nafasi ya Uenyekiti ndani ya CHADEMA hajakivua nguo chama hicho bali anawataja wala rushwa walio ndani ya chama hicho

Heche amesema “Lissu hajatumiwa kukishambulia chama, anashambulia mafisadi wanaoingiza nguvu za kifisadi kwenye chama ili wake pembeni wakutane Waadilifu na wa kweli. Hajatumika hata mara moja kushambulia chama”

Aidha, amesema mtu unamtambua kwa kauli zake kwani zinamtambulisha ni nani na yupo upande gani. Unaanzaje kusema Lissu anatumiwa?

Ameongeza kuwa “Lissu anavua nguo watu wachache ndani ya chama. Lissu havui chama chetu nguo, anakipenda snaa ndio maana anatembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA”

“Mtu anayesema anaipenda CHADEMA kuliko sisi aoneshe amelipa ghafama ngapi kwenye CHADEMA. Sio kukaa twita tu na kutukana watu. Haujajaribiwa! Hata kuhongwa na ukatae fedha kwa ajili ya chama hiki”

Amemalizia “Kuna vijana hapa wanatukana watu, tunawajua! Umewahi kufikiria kujaribiwa kupewa fedha halafu ufikirie matatioz uliyonayo nyumbani halafu uyaweke pembeni, useme mimi kwa sababu ya Wanachama na nchi yetu sitachukua hizi fedha pamoja na kwamba nazihitaji. Huyo mtu unampimaje? Huyu mtu unamwonaje?”

“Havui Chama nguo anavua wala rushwa nguo na tutawashika. Lissu amesema kuna watu wachache ndani ya chama wamehongwa, anasema tupeni madaraka tushughulike nao wakae kwenye mstari.”

My take.
Lissu ameweza kuwapata watu wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya CHADEMA, Heche na si muda tutamsikia Lema. Ngoja tuone Januari 21 mambo yatakuaje ila
 
John Heche akiongea na Waandishi wa habari leo Januari 05, 2024 amesema Tundu Lissu anayewania nafasi ya Uenyekiti ndani ya CHADEMA hajakivua nguo chama hicho bali anawataja wala rushwa walio ndani ya chama hicho

Heche amesema “Lissu hajatumiwa kukishambulia chama, anashambulia mafisadi wanaoingiza nguvu za kifisadi kwenye chama ili wake pembeni wakutane Waadilifu na wa kweli. Hajatumika hata mara moja kushambulia chama”

Aidha, amesema mtu unamtambua kwa kauli zake kwani zinamtambulisha ni nani na yupo upande gani. Unaanzaje kusema Lissu anatumiwa?

Ameongeza kuwa “Lissu anavua nguo watu wachache ndani ya chama. Lissu havui chama chetu nguo, anakipenda snaa ndio maana anatembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA”

“Mtu anayesema anaipenda CHADEMA kuliko sisi aoneshe amelipa ghafama ngapi kwenye CHADEMA. Sio kukaa twita tu na kutukana watu. Haujajaribiwa! Hata kuhongwa na ukatae fedha kwa ajili ya chama hiki”

Amemalizia “Kuna vijana hapa wanatukana watu, tunawajua! Umewahi kufikiria kujaribiwa kupewa fedha halafu ufikirie matatioz uliyonayo nyumbani halafu uyaweke pembeni, useme mimi kwa sababu ya Wanachama na nchi yetu sitachukua hizi fedha pamoja na kwamba nazihitaji. Huyo mtu unampimaje? Huyu mtu unamwonaje?”

“Havui Chama nguo anavua wala rushwa nguo na tutawashika. Lissu amesema kuna watu wachache ndani ya chama wamehongwa, anasema tupeni madaraka tushughulike nao wakae kwenye mstari.”

My take.
Lissu ameweza kuwapata watu wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya CHADEMA, Heche na si muda tutamsikia Lema. Ngoja tuone Januari 21 mambo yatakuaje ila
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Duuuh Heche takataka
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Hii mbaya sana kwa taifa kama wananchi wenyewe ndo hawa basi Mama akae miaka Mia tu.
 
Lissu ameweza kuwapata watu wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya CHADEMA, Heche na si muda tutamsikia Lema. Ngoja tuone Januari 21 mambo yatakuaje ila
Tunasubiri kwa hamu kubwa huyu mwamba..

Mbowe aambiwe tu ukweli kwamba amefanya kazi kubwa na yakutukuka, lkn kwa sasa hatoshi!

Nikiazima maneno ya Babu Duni "Mbowe kwisha, kwisha, kwisha kabisa! Ndembendembe! Kifo cha mende!
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.

Kama namwona mwamba na machawa wake:

GgSj1L0WkAEMYn_.jpeg
 
John Heche akiongea na Waandishi wa habari leo Januari 05, 2024 amesema Tundu Lissu anayewania nafasi ya Uenyekiti ndani ya CHADEMA hajakivua nguo chama hicho bali anawataja wala rushwa walio ndani ya chama hicho

Heche amesema “Lissu hajatumiwa kukishambulia chama, anashambulia mafisadi wanaoingiza nguvu za kifisadi kwenye chama ili wake pembeni wakutane Waadilifu na wa kweli. Hajatumika hata mara moja kushambulia chama”

Aidha, amesema mtu unamtambua kwa kauli zake kwani zinamtambulisha ni nani na yupo upande gani. Unaanzaje kusema Lissu anatumiwa?

Ameongeza kuwa “Lissu anavua nguo watu wachache ndani ya chama. Lissu havui chama chetu nguo, anakipenda snaa ndio maana anatembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA”

“Mtu anayesema anaipenda CHADEMA kuliko sisi aoneshe amelipa ghafama ngapi kwenye CHADEMA. Sio kukaa twita tu na kutukana watu. Haujajaribiwa! Hata kuhongwa na ukatae fedha kwa ajili ya chama hiki”

Amemalizia “Kuna vijana hapa wanatukana watu, tunawajua! Umewahi kufikiria kujaribiwa kupewa fedha halafu ufikirie matatioz uliyonayo nyumbani halafu uyaweke pembeni, useme mimi kwa sababu ya Wanachama na nchi yetu sitachukua hizi fedha pamoja na kwamba nazihitaji. Huyo mtu unampimaje? Huyu mtu unamwonaje?”

“Havui Chama nguo anavua wala rushwa nguo na tutawashika. Lissu amesema kuna watu wachache ndani ya chama wamehongwa, anasema tupeni madaraka tushughulike nao wakae kwenye mstari.”

My take.
Lissu ameweza kuwapata watu wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya CHADEMA, Heche na si muda tutamsikia Lema. Ngoja tuone Januari 21 mambo yatakuaje ila
Heche ni mtu na nusu asee
 
Duuuh Heche takataka
Yes! kwani ana nini? Kelele tu kama Lisu......amefanya nini kuishinikiza serikali ya samia katika uchaguzi uliopita kwa mfano? aliuawa ndugu yake, alifanya nini kuiadabisha serikali? Mbona mnawapa watu sifa wasizokuwa nazo? Tatizo lenu mtu akipiga kelele amewamaliza .................siyo mimi! Sifanyi mabo kwa mkumbo. THINK a bit beyond!
 
Hii mbaya sana kwa taifa kama wananchi wenyewe ndo hawa basi Mama akae miaka Mia tu.
Lisu anaropoka na watamshughulikia....... lazima kuwa na strategy, yy anaropoka na watu wanashangilia, anajisahau...kama jinga vile!
 
John Heche akiongea na Waandishi wa habari leo Januari 05, 2024 amesema Tundu Lissu anayewania nafasi ya Uenyekiti ndani ya CHADEMA hajakivua nguo chama hicho bali anawataja wala rushwa walio ndani ya chama hicho

Heche amesema “Lissu hajatumiwa kukishambulia chama, anashambulia mafisadi wanaoingiza nguvu za kifisadi kwenye chama ili wake pembeni wakutane Waadilifu na wa kweli. Hajatumika hata mara moja kushambulia chama”

Aidha, amesema mtu unamtambua kwa kauli zake kwani zinamtambulisha ni nani na yupo upande gani. Unaanzaje kusema Lissu anatumiwa?

Ameongeza kuwa “Lissu anavua nguo watu wachache ndani ya chama. Lissu havui chama chetu nguo, anakipenda snaa ndio maana anatembea na risasi kwa sababu ya CHADEMA”

“Mtu anayesema anaipenda CHADEMA kuliko sisi aoneshe amelipa ghafama ngapi kwenye CHADEMA. Sio kukaa twita tu na kutukana watu. Haujajaribiwa! Hata kuhongwa na ukatae fedha kwa ajili ya chama hiki”

Amemalizia “Kuna vijana hapa wanatukana watu, tunawajua! Umewahi kufikiria kujaribiwa kupewa fedha halafu ufikirie matatioz uliyonayo nyumbani halafu uyaweke pembeni, useme mimi kwa sababu ya Wanachama na nchi yetu sitachukua hizi fedha pamoja na kwamba nazihitaji. Huyo mtu unampimaje? Huyu mtu unamwonaje?”

“Havui Chama nguo anavua wala rushwa nguo na tutawashika. Lissu amesema kuna watu wachache ndani ya chama wamehongwa, anasema tupeni madaraka tushughulike nao wakae kwenye mstari.”

My take.
Lissu ameweza kuwapata watu wenye ushawishi mkubwa sana ndani ya CHADEMA, Heche na si muda tutamsikia Lema. Ngoja tuone Januari 21 mambo yatakuaje ila

Heche amesema “Lissu hajatumiwa kukishambulia chama, anashambulia mafisadi wanaoingiza nguvu za kifisadi kwenye chama ili wake pembeni wakutane Waadilifu na wa kweli. Hajatumika hata mara moja kushambulia chama”
 
L
Heche amesema “Lissu hajatumiwa kukishambulia chama, anashambulia mafisadi wanaoingiza nguvu za kifisadi kwenye chama ili wake pembeni wakutane Waadilifu na wa kweli. Hajatumika hata mara moja kushambulia chama”
Lissu ni jembe la ukweli...
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Mpumbavu wewe.
Samia hana ujinga kama huo.
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Wewe ni kapumbaff!
 
Tunasubiri kwa hamu kubwa huyu mwamba..

Mbowe aambiwe tu ukweli kwamba amefanya kazi kubwa na yakutukuka, lkn kwa sasa hatoshi!

Nikiazima maneno ya Babu Duni "Mbowe kwisha, kwisha, kwisha kabisa! Ndembendembe! Kifo cha mende!
Mbowe inatosha
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom