Heche: Lissu hajaivua CHADEMA nguo, anawavua nguo wala rushwa. Anaipenda sana CHADEMA

Heche: Lissu hajaivua CHADEMA nguo, anawavua nguo wala rushwa. Anaipenda sana CHADEMA

Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.

Wasiojulikana mnajulikana.

Ni wazi baadhi ya waliotekwa na kuuawa kuna Mkono wenu
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Mbona mnatumia vitisho sasa?....fanyeni siasa za kiungwana.
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Heche has just confirmed kwamba chakademus is corrupt
 
Kwa jinsi hivi mambo zinavyoenda.CHADEMA hawawezi kuendesha nchi - patachimbika.Huyu Heche anasema Lissu anataja mafisadi - wakati Lissu anaongea kwa umoja hawi specific - hao waliotajwa na Lissu ni akina nani? Na je hatua gani zinachukuliwa..yeye kama Heche mbona hasemi hatua inayopaswa kufanywa - yaani kama ngojera tu na hisia tu..How much zimepotezwa kwa mambo ya rushwa???Heche alikua anajitahidinkuwa mjanja na Neutral but lengo lake kubwa lilikuwa kutangaza kuwa ana - muunga mkono Lissu - allegations nyingine na yeye anaingia kwenye mkumbo huo huo.
Bora yule kijana wa umoja wa vijana wa Dodoma..so far ndo mtu kaongea vizuri..but hawa wengine wote wanazidi kuleta utenganifu kwenye chama chao.
Yeye katangaza nia ya umakamu mwenyekiti then anasema anaenda na Lissu what if Mbowe anashinda na yeye anashinda - atakataa kufanya nae kazi...Baadhi ya watu CDM wako very personal.
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Huna akili
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Umeandika ujinga tu
 
Kwa jinsi hivi mambo zinavyoenda.CHADEMA hawawezi kuendesha nchi - patachimbika.Huyu Heche anasema Lissu anataja mafisadi - wakati Lissu anaongea kwa umoja hawi specific - hao waliotajwa na Lissu ni akina nani? Na je hatua gani zinachukuliwa..yeye kama Heche mbona hasemi hatua inayopaswa kufanywa - yaani kama ngojera tu na hisia tu..How much zimepotezwa kwa mambo ya rushwa???Heche alikua anajitahidinkuwa mjanja na Neutral but lengo lake kubwa lilikuwa kutangaza kuwa ana - muunga mkono Lissu - allegations nyingine na yeye anaingia kwenye mkumbo huo huo.
Bora yule kijana wa umoja wa vijana wa Dodoma..so far ndo mtu kaongea vizuri..but hawa wengine wote wanazidi kuleta utenganifu kwenye chama chao.
Yeye katangaza nia ya umakamu mwenyekiti then anasema anaenda na Lissu what if Mbowe anashinda na yeye anashinda - atakataa kufanya nae kazi...Baadhi ya watu CDM wako very personal.
Kwani wewe ulishawahi kuongoza wapi au ujuaji wa kijinga tu
 
Mwenyekiti Lisu
Makamu Heche
Katibu Lema
Bibi chaudere na chama chake mapepo yatawapanda kila muda
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
Bora baba yako angepiga punyeto leo tusingekua na kiumbe cha hovyo kama wewe
 
dah ina mana hawa jamaa siku watayoshika uingoz ndio martin kibarua chake kimeisha cha twita. nasemeje sisi bawaacha tunasamq na waveriya mnyapaa
 
Heche ni takataka tu. Ngoja walete kiherehere wakumbane na polisi na JW na TISS. Lazima uangalie unafanyia wwapi siasa na utumie.mbinu gani. Safari hii hakuna Nairobi ni Muhimbili na biashara imeishia hapo.
We jamaa ni mjinga kupitiliza...maana limtokalo mtu ndilo lililo jaa ndani yake... naishia hapo tu.
 
Back
Top Bottom