comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
“Nimemuona Mzee Wasira, amekuwa Serikalini kwa zaidi ya miaka sitini sijui sabini tangu akiwa na miaka sijui ishirini mimi sijazaliwa, anataka atengeneze kwamba anataka kutengeneza kama mabishano flani na Mwenyekiti wetu wa Taifa, kwamba Wasira amshughulikia Lissu, Mzee Wasira Lissu sio saizi yako, Lissu atashughulika na Rais” Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche leo Makao Makuu ya CHADEMA, Mikocheni Dar es salaam.
Heche : Mzee Wasira unatakiwa kuelewa, Lissu sio size yako, anakuja kushughulika na Samia sio wewe hatuna muda na wewe, hatuwezi kufundisha Mbwa Mzee Mbinu mpya za kuwenda
Wewe unachojua ni kutoka serikali na kurudi, umeanza kulipwa mshahara na serikali ukiwa na miaka 20 mpaka leo, kwa miaka 60 unalipwa na serikali umeshiba hauna cha kuambia Gen ZNdio maana Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, ambaye amejaa shiba kama Wasira , mwenye BIMA inalipwa na Wananchi, anapigiwa Simu na mama mwenye ujauzito anamjibu nenda mumeo akakusaidia kujifungua kwa kukukata na mikasiHuyu ni mteule wa Rais, kauli yake ni kauli ya Rais.
Tutaongoza wananchi kurudisha heshima ya wananchi, ila wabunge na viongozi wakisimama wawe wanasema kwamba tunawashukuru wananchi, na sio kusema tuna mshukuru Rais maana yeye sio wa kutoa fedha ni nyie