Heche: Nikitoka nyumbani nje Kuna kaburi la mdogo wangu Saguti aliyeuawa akiitetea Chadema, hiki ni Chama Cha Watu siyo MTU!

Mbona mkongwe sultan alisema ataingia mzigoni akiona chama chake kinaenda sivyo? Aambiwe chama si cha mtu mmoja ni chama cha wananchi wote wa Tanzania wanaojiunga nacho kuwa wanachama wake
 
Hivi mnamjua Mbowe au mnamsikia?.
Achana na chagadema bwana weka mbali na watoto.
Leo ndo TAL anagundua kuwa CDM ni Mali ya Mbowe
 
Inasikitisha sana.

Watu wazima wanachekelea kuona binadamu wenzao katika kupambania haki wanapigwa virungu, mapanga, risasi hadi kifo au ulemavu na vyombo vya dola. Kisha watu hao hao wanaona raha kabisa kulaumu viongozi wa upinzani kwa “kuuza damu” za wenzao!

Nazidi kuelewa ilikuwaje maelfu (Malaki) ya Waafrika walisombwa utumwani Uarabuni, Amerika ya Kusini na Marekani kirahisi rahisi kuliko watu wa mataifa mengine. Hulka ya utumwa, unafiki na uchawa kwa madikteta ni msiba mkuu wa Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…