Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mgombea nafasi makamu mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche amesema kutokana na hali ya kisiasa ya sasa ya nchini inahitaji watu wagumu kuziongoza ili kuleta mabadiliko.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Heche ameyasema hayo leo Jumatano Januari 22, 2025 akinadi sera zake katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ambako uchaguzi huo unafanyika.
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Heche ameyasema hayo leo Jumatano Januari 22, 2025 akinadi sera zake katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ambako uchaguzi huo unafanyika.