tajiri tumbo kubwa
JF-Expert Member
- May 27, 2021
- 429
- 567
thank youUko sahihi kabisa. Hatuwezi kumpata malaika wa kuikomboa nchi hii kutoka dimbwi la umaskini huku tukiwa na raslimali za kutosha tu, kupitia ccm!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thank youUko sahihi kabisa. Hatuwezi kumpata malaika wa kuikomboa nchi hii kutoka dimbwi la umaskini huku tukiwa na raslimali za kutosha tu, kupitia ccm!
Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
wewe mjinga ajabu, unafikiria hela ni ya ruzuku pekee, lakini sikulaumu, ati cia, cia wakitaka kuondoa ccm na samia madarakani hata wiki 5 haziishi, ccm inaanguka, ni vile tu tz sio taifa la muhimu sana kwa mataifa makubwa duniani,sasa kaa cia waliangusa gadaffi kule libya licha ya utajiri na weledi wake , ccm ni nani, wewe rudi chatoHeche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
nani kakuambia heche kakosa ubungeHaumwi ni shida tu kwani hata uwezo wa ku dry clean suti zake umepungua sana-- kukosa ubunge si jambo rahisi
Chama kimekwenda digital na kadi watu wanachangia kwa madaraja. Kuna Diamond, Gold, Silver membership. Ni ubunifu ndiyo unaingiza pesa.Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
Tell them my sister, miaka 60 na bado kuna umasikini wa ajabu, licha ya taifa kuwa na utajiri wa ajabu, this party must goChama kimekwenda digital na kadi watu wanachangia kwa madaraja. Kuna Diamond, Gold, Silver membership. Ni ubunifu ndiyo unaingiza pesa.
Msipokubali kwa amani yatatokea yaliyotokea Swaziland, wapeni watu uhuru wa kuchagua. Miaka 60 ya CCM madarakani bado 40% wanaishi katika nyumba za udongo wala hakuna mawazo ya kuwanasua katika hali hiyo.
CHIZI WEWE BIBIYANGU ALIKUAMBIA ANATAKA SI NYIE TU MLIOKOSA UBUNGE NA HECHE WAKO NDIYO MNAWAONEA WIVU KINA MDEE WENZENU WANAKULA KUKU NYIE SASA HIVI MMEPAUKAAAAAHata bib yako aweza ongoza
NI wqapumbavu kama wewe tu ndiyo wanaweza kukuamini huu uharo wakoulioandika sasa katika hao maskini unaowaona wameletewa na ccm hiyo digital yenu ya kijinga wanaimudu vipi yaani ukiwa mpumbavu na akili ya kudanganya unaikosa maskini anakuchangia nini sasa na chama lako la kitapeli mwenyekitii kang'ang'ania madarakani hataki kuheshimu katiba loooo shame on youMsipokubali kwa amani yatatokea yaliyotokea Swaziland, wapeni watu uhuru wa kuchagua. Miaka 60 ya CCM madarakani bado 40% wanaishi katika nyumba za udongo wala hakuna mawazo ya kuwanasua katika hali hiyo.
Africa sijui itapata lini akina Mandela jamani, tuna viongozi wa hovyo sn"Kwa kauli hizi ameondoa kina Sabaya wachache wa Magufuli anaweka kina Sabaya wake, soon utekaji, mauji na utesaji wa watu utaanza.hivi nchi ambayo wewe ukiwa makamu wa rais mlisema mmeinua uchumi na kupeleka uchumi wa kati lini tena umeanguka mpaka unataka kuuinua? Heshimu katiba"-John Heche
wapo kina mdude si ndiyo kina mandela wenu?Africa sijui itapata lini akina Mandela jamani, tuna viongozi wa hovyo sn
Katiba ya CDM unaijua kuliko CDM wenyewe?NI wqapumbavu kama wewe tu ndiyo wanaweza kukuamini huu uharo wakoulioandika sasa katika hao maskini unaowaona wameletewa na ccm hiyo digital yenu ya kijinga wanaimudu vipi yaani ukiwa mpumbavu na akili ya kudanganya unaikosa maskini anakuchangia nini sasa na chama lako la kitapeli mwenyekitii kang'ang'ania madarakani hataki kuheshimu katiba loooo shame on you
Mbona mabeberu walidunda kwa jpm,,mi nawaonea huruma tu,harakati zenu haziwezi kuzaa matunda leo,,labda 2050,kije kizazi kipya,kina henche, mbowe,lisu,mnyika ni wanasiasa wazuri tu,,tatizo,,hawana washauri wazuri waliobobea kufanya siasa,wewe mjinga ajabu, unafikiria hela ni ya ruzuku pekee, lakini sikulaumu, ati cia, cia wakitaka kuondoa ccm na samia madarakani hata wiki 5 haziishi, ccm inaanguka, ni vile tu tz sio taifa la muhimu sana kwa mataifa makubwa duniani,sasa kaa cia waliangusa gadaffi kule libya licha ya utajiri na weledi wake , ccm ni nani, wewe rudi chato
Mdude,martini, Catherine,etc na ndani yake kuna ma deep cover agents wa hatariwapo kina mdude si ndiyo kina mandela wenu?
Lakini maisha magumu tunaumia wote awe CCM, CHADEMA n.kMbona mabeberu walidunda kwa jpm,,mi nawaonea huruma tu,harakati zenu haziwezi kuzaa matunda leo,,labda 2050,kije kizazi kipya,kina henche, mbowe,lisu,mnyika ni wanasiasa wazuri tu,,tatizo,,hawana washauri wazuri waliobobea kufanya siasa,
Siasa za kiuna harakati,zitakua just that..mbowe atazeeka,lisu vilevile,henche atarudi tarime kwa uzee na bado watakua hawajafanikiwa,kukamata madaraka,
Haya ndiyo mafanikio ya CCM kwa miaka 60 waliyokaa madarakaniChama kimekwenda digital na kadi watu wanachangia kwa madaraja. Kuna Diamond, Gold, Silver membership. Ni ubunifu ndiyo unaingiza pesa.
Msipokubali kwa amani yatatokea yaliyotokea Swaziland, wapeni watu uhuru wa kuchagua. Miaka 60 ya CCM madarakani bado 40% wanaishi katika nyumba za udongo wala hakuna mawazo ya kuwanasua katika hali hiyo.
Sawa,tutapiga hatua iwapo tutakaa na kuongea,,confrotation haiwezi kuwafikisha popote,,waulizeni HAMAS,,Lakini maisha magumu tunaumia wote awe CCM, CHADEMA n.k
Alichofanyiwa 2020 anakijua, CCM bila nguvu ni zeroSawa,tutapiga hatua iwapo tutakaa na kuongea,,confrotation haiwezi kuwafikisha popote,,waulizeni HAMAS,,
Wakati mwingine kama huwezi kutumia nguvu inabidi diplomacy itumike,
Maalimu seif mwenyewe aliona bira waongee,kidogo kidogo watagain,,
Angejua toka enzi za comando Amour,,leo hii wangekuwa washapiga hatua
Kumbe Heche mpuuzi kiasi hiki!!. Mtu anayeweza kuwafutia kesi kina Mbowe na Mdude ndio aanzishe magenge ya kina Sabaya!!."Kwa kauli hizi ameondoa kina Sabaya wachache wa Magufuli anaweka kina Sabaya wake, soon utekaji, mauji na utesaji wa watu utaanza.hivi nchi ambayo wewe ukiwa makamu wa rais mlisema mmeinua uchumi na kupeleka uchumi wa kati lini tena umeanguka mpaka unataka kuuinua? Heshimu katiba"-John Heche
Sasa kama mmeiba uchaguzi na kucezea ruzuku hakuna pesa zipatikane wapi?Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
Sasa wewe hapo unaona maajabu yapi?Unaandika hivi ukiwa nyuma ya keeyboard huku umefunga milango kwa hofu kuu