Heche: Soon anaweka kina Sabaya wake, Uchumi wa kati umeanguka lini?

Heche: Soon anaweka kina Sabaya wake, Uchumi wa kati umeanguka lini?

Hata mpumbavu hujiona mweny akili
Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
 
Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
wewe mjinga ajabu, unafikiria hela ni ya ruzuku pekee, lakini sikulaumu, ati cia, cia wakitaka kuondoa ccm na samia madarakani hata wiki 5 haziishi, ccm inaanguka, ni vile tu tz sio taifa la muhimu sana kwa mataifa makubwa duniani,sasa kaa cia waliangusa gadaffi kule libya licha ya utajiri na weledi wake , ccm ni nani, wewe rudi chato
 
Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
Chama kimekwenda digital na kadi watu wanachangia kwa madaraja. Kuna Diamond, Gold, Silver membership. Ni ubunifu ndiyo unaingiza pesa.

Msipokubali kwa amani yatatokea yaliyotokea Swaziland, wapeni watu uhuru wa kuchagua. Miaka 60 ya CCM madarakani bado 40% wanaishi katika nyumba za udongo wala hakuna mawazo ya kuwanasua katika hali hiyo.
 
Chama kimekwenda digital na kadi watu wanachangia kwa madaraja. Kuna Diamond, Gold, Silver membership. Ni ubunifu ndiyo unaingiza pesa.

Msipokubali kwa amani yatatokea yaliyotokea Swaziland, wapeni watu uhuru wa kuchagua. Miaka 60 ya CCM madarakani bado 40% wanaishi katika nyumba za udongo wala hakuna mawazo ya kuwanasua katika hali hiyo.
Tell them my sister, miaka 60 na bado kuna umasikini wa ajabu, licha ya taifa kuwa na utajiri wa ajabu, this party must go
 
Msipokubali kwa amani yatatokea yaliyotokea Swaziland, wapeni watu uhuru wa kuchagua. Miaka 60 ya CCM madarakani bado 40% wanaishi katika nyumba za udongo wala hakuna mawazo ya kuwanasua katika hali hiyo.
NI wqapumbavu kama wewe tu ndiyo wanaweza kukuamini huu uharo wakoulioandika sasa katika hao maskini unaowaona wameletewa na ccm hiyo digital yenu ya kijinga wanaimudu vipi yaani ukiwa mpumbavu na akili ya kudanganya unaikosa maskini anakuchangia nini sasa na chama lako la kitapeli mwenyekitii kang'ang'ania madarakani hataki kuheshimu katiba loooo shame on you
 
"Kwa kauli hizi ameondoa kina Sabaya wachache wa Magufuli anaweka kina Sabaya wake, soon utekaji, mauji na utesaji wa watu utaanza.hivi nchi ambayo wewe ukiwa makamu wa rais mlisema mmeinua uchumi na kupeleka uchumi wa kati lini tena umeanguka mpaka unataka kuuinua? Heshimu katiba"-John Heche
Africa sijui itapata lini akina Mandela jamani, tuna viongozi wa hovyo sn
 
NI wqapumbavu kama wewe tu ndiyo wanaweza kukuamini huu uharo wakoulioandika sasa katika hao maskini unaowaona wameletewa na ccm hiyo digital yenu ya kijinga wanaimudu vipi yaani ukiwa mpumbavu na akili ya kudanganya unaikosa maskini anakuchangia nini sasa na chama lako la kitapeli mwenyekitii kang'ang'ania madarakani hataki kuheshimu katiba loooo shame on you
Katiba ya CDM unaijua kuliko CDM wenyewe?
 
wewe mjinga ajabu, unafikiria hela ni ya ruzuku pekee, lakini sikulaumu, ati cia, cia wakitaka kuondoa ccm na samia madarakani hata wiki 5 haziishi, ccm inaanguka, ni vile tu tz sio taifa la muhimu sana kwa mataifa makubwa duniani,sasa kaa cia waliangusa gadaffi kule libya licha ya utajiri na weledi wake , ccm ni nani, wewe rudi chato
Mbona mabeberu walidunda kwa jpm,,mi nawaonea huruma tu,harakati zenu haziwezi kuzaa matunda leo,,labda 2050,kije kizazi kipya,kina henche, mbowe,lisu,mnyika ni wanasiasa wazuri tu,,tatizo,,hawana washauri wazuri waliobobea kufanya siasa,
Siasa za kiuna harakati,zitakua just that..mbowe atazeeka,lisu vilevile,henche atarudi tarime kwa uzee na bado watakua hawajafanikiwa,kukamata madaraka,
 
Mbona mabeberu walidunda kwa jpm,,mi nawaonea huruma tu,harakati zenu haziwezi kuzaa matunda leo,,labda 2050,kije kizazi kipya,kina henche, mbowe,lisu,mnyika ni wanasiasa wazuri tu,,tatizo,,hawana washauri wazuri waliobobea kufanya siasa,
Siasa za kiuna harakati,zitakua just that..mbowe atazeeka,lisu vilevile,henche atarudi tarime kwa uzee na bado watakua hawajafanikiwa,kukamata madaraka,
Lakini maisha magumu tunaumia wote awe CCM, CHADEMA n.k
 
Chama kimekwenda digital na kadi watu wanachangia kwa madaraja. Kuna Diamond, Gold, Silver membership. Ni ubunifu ndiyo unaingiza pesa.

Msipokubali kwa amani yatatokea yaliyotokea Swaziland, wapeni watu uhuru wa kuchagua. Miaka 60 ya CCM madarakani bado 40% wanaishi katika nyumba za udongo wala hakuna mawazo ya kuwanasua katika hali hiyo.
Haya ndiyo mafanikio ya CCM kwa miaka 60 waliyokaa madarakani
IMG-20200216-WA0000.jpg
JamiiForums1290511933.jpg
JamiiForums-2027253125.jpg
FB_IMG_1603797348722.jpg
JamiiForums-1639505995.jpg
20210413_154229.jpg
 
Lakini maisha magumu tunaumia wote awe CCM, CHADEMA n.k
Sawa,tutapiga hatua iwapo tutakaa na kuongea,,confrotation haiwezi kuwafikisha popote,,waulizeni HAMAS,,
Wakati mwingine kama huwezi kutumia nguvu inabidi diplomacy itumike,
Maalimu seif mwenyewe aliona bira waongee,kidogo kidogo watagain,,
Angejua toka enzi za comando Amour,,leo hii wangekuwa washapiga hatua
 
Sawa,tutapiga hatua iwapo tutakaa na kuongea,,confrotation haiwezi kuwafikisha popote,,waulizeni HAMAS,,
Wakati mwingine kama huwezi kutumia nguvu inabidi diplomacy itumike,
Maalimu seif mwenyewe aliona bira waongee,kidogo kidogo watagain,,
Angejua toka enzi za comando Amour,,leo hii wangekuwa washapiga hatua
Alichofanyiwa 2020 anakijua, CCM bila nguvu ni zero
 
"Kwa kauli hizi ameondoa kina Sabaya wachache wa Magufuli anaweka kina Sabaya wake, soon utekaji, mauji na utesaji wa watu utaanza.hivi nchi ambayo wewe ukiwa makamu wa rais mlisema mmeinua uchumi na kupeleka uchumi wa kati lini tena umeanguka mpaka unataka kuuinua? Heshimu katiba"-John Heche
Kumbe Heche mpuuzi kiasi hiki!!. Mtu anayeweza kuwafutia kesi kina Mbowe na Mdude ndio aanzishe magenge ya kina Sabaya!!.

Wapiga kura ni watu wenye akili na busara nyingi sana. Akili za aina hii wamezipiga chini.
 
Heche ni mzima kabisa,,sema wanatumika na maajenti wa CIA kuvuruga nchi,,syria style,,wanajua kabisa hata mchakato wa katiba uanze upya,mwisho wataishia kuweka mpira kwapani,sababu hawana majority ya kupitisha katiba waitakayo,wao wanaombea serikali iendelee kukataa ili wapate sababu za kuanzisha maandamano na harakati zingine,
Kama watakamatwa,wao ndo wanazidi kupata dola za kimarekani na kujipatia umaarufu,,
Jiulize tu, pesa za kuendesha chama zinatoka wapi na hawachukui ruzuku?
Jibu ni,majasusi wa nje ndio wanafund harakati zao,,
That is why JPM alikuaga chonjo sana kwenye transactions za pesa maana huko ndo zilipitia pesa za kufund harakati,,
Kwasasa waangalie sana foreign embassies,,itakuwa kuna watu wanaendaga kuvuta mipunga ya kufund haya mambo,,
Huwezi kuendesha chama bila pesa,,hawa wanapata pesa toka wapi wakati wamekataa ruzuku,?
Money laundry loading
Sasa kama mmeiba uchaguzi na kucezea ruzuku hakuna pesa zipatikane wapi?

Hoja hapa ni katiba walete mchakato huru wasiuingilie mchakato kwa kuweka mamluki wao waone kama kuna mtu ataukataa.

Tunaposema haki tunataka kweli haki sio nusu haki yaani kutuuma uku unatupuliza kama panya!!
 
Unaandika hivi ukiwa nyuma ya keeyboard huku umefunga milango kwa hofu kuu
Sasa wewe hapo unaona maajabu yapi?

Hali ingekuwa inaruhusu isingemlazimu "afunge milango kwa hofu" wakati akiandika hayo. Kwani wewe hali hiyo ndiyo inayokufurahisha?

Au unadhani kwa vile ana hofu, hayo aliyoandika hayawezi kutokea?

Wewe hapo unajiona upo salama sana na mwenye furaha nyingi kwa vile sasa hivi ndiwe unayeshangilia watu wawe na hofu kwa kujua watashughulikiwa?
 
Back
Top Bottom