The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
This is a NICE one ............!!"Kwa kauli hizi ameondoa kina Sabaya wachache wa Magufuli anaweka kina Sabaya wake, soon utekaji, mauji na utesaji wa watu utaanza.hivi nchi ambayo wewe ukiwa makamu wa rais mlisema mmeinua uchumi na kupeleka uchumi wa kati lini tena umeanguka mpaka unataka kuuinua? Heshimu katiba"-John Heche
Naam ni mimiMkuu ni wewe huyu???
Mwendawazimu alipokua Rais na mpaka anakufa, uliuliza?!!Heche amepona lini ugonjwa wa akili?
CCM ni genge la hatari hata ashuke malaika hawezi kuwaongoza wana uovu wa kila aina .Uko sahihi kabisa. Hatuwezi kumpata malaika wa kuikomboa nchi hii kutoka dimbwi la umaskini huku tukiwa na raslimali za kutosha tu, kupitia ccm!
Anza kumwaga yako kwanza tuoneHili kundi la wezi CCM wanakoelekea ni damu tu kumwagika. BILA HIVYO HATUTAELEWANA.
Unaandika hivi ukiwa nyuma ya keeyboard huku umefunga milango kwa hofu kuu
Ahahahahaha nakumbuka Mbowe anatamka eti 'Mama yetu tupe tumaiji jipya'..zisi kantre miyayusho sanaToa CCM madarakani, Haina jipya mnaomshangilia the so called MAMA mtamkana soon!
Katiba mpya haiwezi kuzuia marekebisho anayoyafanya Mh. Rais katika kuujenga uchumi waliouharibu yeye na jiwe. Huyu huyu alidai kuwa hata wananchi wasipowapa CCM kura za kutosha watarudi ikulu. Anachokifanya ni kujiosha ili ionekane hakuwa pamoja na JPM.
Kama JPM alikuwa wa hovyo Basi hata huyu ni walewale, anaenda kuharibu zaidi.
Tunatumia katiba inayoegemea busara za kiongozi mmoja badala ya Sheria halisi.
Na Kuna watu hawalali kwa usalama wakeUnaandika hivi ukiwa nyuma ya keeyboard huku umefunga milango kwa hofu kuu
Mbona hata wewe Hujawa mbuge je uwezo wako ukojeHaumwi ni shida tu kwani hata uwezo wa ku dry clean suti zake umepungua sana-- kukosa ubunge si jambo rahisi