Heche: Tunataka kujenga taifa la watu wanaojitolea ili wawe na nguvu ya kuhoji

Heche: Tunataka kujenga taifa la watu wanaojitolea ili wawe na nguvu ya kuhoji

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Heche amesema lengo la kampeni ya Tone Tone ni kujenga jamii itakayokuwa na uwezo wa kuhoji na kusimamia vitu kwa sababu na wao wanakuwa na mchango katika kujenga chama

"Tunataka kujenga jamii ya watu ambayo amabo wanajitolea, wanaifuatilia, wanaisimamia serikali, wanasimamia vyama vya saisa" - John Heche, Makamu mwenyekiti CHADEMA
 
CCM ukitaka kuhoji jambo Tu wanakukumbusha madudu yako, unaufyata mwenyewe.....
 
Back
Top Bottom