Pre GE2025 Heche: Wapo wana CCM wanaounga mkono 'no reforms no election'

Pre GE2025 Heche: Wapo wana CCM wanaounga mkono 'no reforms no election'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema wapo baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaounga mkono kauli ya chama hicho ya bila mabadiliko hakuna uchaguzi inayojulikana kama 'no reforms no election'.
IMG_3296.jpeg

Akizungumza katika mahojiano na chombo kimojawapo cha habari nchini Heche amesema kwamba baadhi ya wana CCM hawapendi mfumo uliopo wa uchaguzi hivyo kuamua kuunga mkono mabadiliko ya mfumo huo kama ambavyo vyama upinzani vimekuwa vikisisitiza.

"Hakuna mtu nchi hii ambae hajui kwamba mfumo wetu wa uchaguzi ni mbovu, hata watu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ukiongea nao utasikia mtu anasema yaani mambo yanayofanyika mpaka naona aibu, wapo wanaotuunga mkono" amesema Heche.

CHANZO: Nipashe
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema wapo baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaounga mkono kauli ya chama hicho ya bila mabadiliko hakuna uchaguzi inayojulikana kama 'no reforms no election'.
View attachment 3253435
Akizungumza katika mahojiano na chombo kimojawapo cha habari nchini Heche amesema kwamba baadhi ya wana CCM hawapendi mfumo uliopo wa uchaguzi hivyo kuamua kuunga mkono mabadiliko ya mfumo huo kama ambavyo vyama upinzani vimekuwa vikisisitiza.

"Hakuna mtu nchi hii ambae hajui kwamba mfumo wetu wa uchaguzi ni mbovu, hata watu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ukiongea nao utasikia mtu anasema yaani mambo yanayofanyika mpaka naona aibu, wapo wanaotuunga mkono" amesema Heche.

CHANZO: Nipashe
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
 
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
Sasa umeandika nini kaka, umenichanganya.
 
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
Kaka mkubwa vipi utaenda tena kugombea Kawe na kina Mwijaku?
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema wapo baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaounga mkono kauli ya chama hicho ya bila mabadiliko hakuna uchaguzi inayojulikana kama 'no reforms no election'.
View attachment 3253435
Akizungumza katika mahojiano na chombo kimojawapo cha habari nchini Heche amesema kwamba baadhi ya wana CCM hawapendi mfumo uliopo wa uchaguzi hivyo kuamua kuunga mkono mabadiliko ya mfumo huo kama ambavyo vyama upinzani vimekuwa vikisisitiza.

"Hakuna mtu nchi hii ambae hajui kwamba mfumo wetu wa uchaguzi ni mbovu, hata watu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ukiongea nao utasikia mtu anasema yaani mambo yanayofanyika mpaka naona aibu, wapo wanaotuunga mkono" amesema Heche.

CHANZO: Nipashe
Bahati mbaya kabisa hawezi kumtaja hata mmoja!
 
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
Unaelewa maana ya neno “Utopia” Au unalopoka tu!!
What makes you think that “ No reform no elections “ cannot suceed? Kama wewe umekata tamaa kaa kando usiwaambukize wapenda nchi yao!
 
Unaelewa maana ya neno “Utopia” Au unalopoka tu!!
What makes you think that “ No reform no elections “ cannot suceed? Kama wewe umekata tamaa kaa kando usiwaambukize wapenda nchi yao!
Mimi nimesema no reforms no election ni utopia!. JF ni ukumbi wa kuelimishana na kuhabarishana, ukiniona mimi siijui maana ya utopia, hivyo ni mropokaji tuu, ni haki yako, ila haiuondoi utopia wa no election!.
P
 
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
Mkuu nilipoanza kusoma mpaka mstari wa tano ghafla nikabonyeza kitufe cha "like" kufika mstari wa sita ikabidi nikibonyeze tena...
 
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
Nasikia Mayalla maana yake njaa, yaani nzala kwa kifupi ni mayalla inadumaza uwezo wa fikra.
 
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
Mbona unajikanyaga???
Sasa unakubali kuwepo mabadiliko maana yake umeona yapo mapungufu. Kama yako wewe unaendeleaje na uchaguzi ambao unajua CCM itashinda lakini si kwa uwanja WA usawa????
ACHA UCHAWA BRO
 
Hawa Chandema huwa siwaelewi kila siku.
Tunacheza ngoma ile ile.
Hapa wanatafuta tatizo juu ya tatizo.
Watashindwa uchaguzi watasema hakukua na reform hatukwenda kuvote.
You people need to go to school to learn this idiot.
 
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
Sijawahi kumuelewa mayala tangu nizaliwe
 
Mimi nimesema no reforms no election ni utopia!. JF ni ukumbi wa kuelimishana na kuhabarishana, ukiniona mimi siijui maana ya utopia, hivyo ni mropokaji tuu, ni haki yako, ila haiuondoi utopia wa no election!.
P
No reform no election iko very CLEAR achana na hayo ya utopia. Unajichanganya. Basi hata ukitranslate Unaona kwamba "Bila mabadiliko hatuwezi kufanya uchaguzi WA haki' msingi WA uchaguzi WA Kwanza NI haki. Kuwepo mabadiliko yatakayo hakikisha haki imezingatiwa na siyo kama ilivyo sasa!!!
 
Back
Top Bottom