Pre GE2025 Heche: Wapo wana CCM wanaounga mkono 'no reforms no election'

Pre GE2025 Heche: Wapo wana CCM wanaounga mkono 'no reforms no election'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
Sasa mkuu wenye dola / CCM hawataki hayo mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi, vile vile umesema hauungi mkono huo utopia wa no reform, no election unasimamia wapi au ni njia ipi unadhani itafanyika kuhakikisha haki inapatikana?
 
Ni kweli kuna wana CCM wengi tuu ambao ni wazalendo wa kweli wa nchi hii,na mimi nikiwemo ambao tunataka mabadiliko ya haki kwenye katiba na sheria ya uchaguzi,na kutaka CCM ishinde kwa haki, kwenye uwanja sawa wa mchezo, lakini hakuna mwana CCM ,anayeunga mkono huo utopia wa no reform,no election!。
P
Mkuu, unajuaje kwamba hamna mwaccm anaye unga mkono kaulimbiu hiyo? Wewe MUNGU?
 
Mimi nimesema no reforms no election ni utopia!. JF ni ukumbi wa kuelimishana na kuhabarishana, ukiniona mimi siijui maana ya utopia, hivyo ni mropokaji tuu, ni haki yako, ila haiuondoi utopia wa no election!.
P
We snitch tu! Piga kimya wenye akili watafute namna ya kukomboa nchi yao.
 
Nimekaribia mkuu Pascal, nimepitia andiko lako na nimesoma ule ushauri mzuri kabisa. Ngoja tuone pengine kunaweza kufanyika jambo japo muda sio rafiki sana
Muda upo wa kutosha, kitu muhimu ni uwepo wa a political will!. Kusipofanyika kitu ni kiburi tuu!, kama nilivyouliza
hapa,
Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?
Naendelea kusisitiza, Kiburi Sii Maungwana!.
P
 
Wao wanadai R moja tu ya mama kelele za nini, mama kashaweka Reforms mezani au hiyo R ya mama hahusu uchaguzi?
 
Mimi nimesema no reforms no election ni utopia!. JF ni ukumbi wa kuelimishana na kuhabarishana, ukiniona mimi siijui maana ya utopia, hivyo ni mropokaji tuu, ni haki yako, ila haiuondoi utopia wa no election!.
P
Kweli huu ni ukumbi wa kuelimishana lakini wengine humu hawana nia hiyo bali wanatumia hii platform kupotosha !!
 
Back
Top Bottom