Hedhi wakati wa ujauzito

Hedhi wakati wa ujauzito

Sharahange

Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
26
Reaction score
3
Habarini wana jamvi!
naombeni kujuzwa ya kuwa kuna uwezekano kwa mwanamke mjamzito kuendelea kupata hedhi? au kwa lugha nyingine wanaita "punguza" na ni nini hatima au dawa yake?
na kuna uwezekano akajifungua mtoto pindi muda utakapofika?
nawasilisha wana JF.
 
Back
Top Bottom