Hedhi yangu ni mabonge ya damu

Hedhi yangu ni mabonge ya damu

Kanjunju

Member
Joined
Oct 8, 2010
Posts
92
Reaction score
6
Naomba msaaada wenu madaktari wa jf hedhi yangu ni mabonge kwa siku tatu mfululizo.je ni kawaida au ni matatizo kiafya?
 
Umeelezea kifupi sana Kanjunju....kwa miaka mingapi sasa unapata hedhi? kuna mabadiliko yoyote? kama yapo ilikuwaje huko mwanzo tofauti na sasa? Ilianza lini? unapata hedhi kwa jumla ya siku ngapi ukijumlisha hizo 3 unazotoa mabonge? unabadilisha pad mara nagpi kwa siku? zilnaloa damu completely? unapata maumivu makali unapopata hedhi?
Ni maswali muhimu kujua ili kukupa ushauri mzuri...

Generally, hedhi si kawaida kuwa na mabonge ya damu. Mara nyingi mabonge ya damu yanaonyesha kuwa unatoa damu nyingi kupita kawaida kwa hedhi. Damu nyingi inajumuisha pia kutoa kwa siku nyingi (zaidi ya siku 5).

Kama utapenda kuwa na 'privacy' (nakushauri hivyo) ukajibu maswali hayo kwa PM fanya hivyo...nitajitahidi kukupa ushauri unaostahiki.
 
Ni vizuri pia ungetueleza umri wako. Maana kuna magonjwa ambayo ni nadra kutokea ktk umri fulani.
 
Hivi jamani mnaonaje msio madoctor mkafunga vinywa vyenu kama mabubu. Au mmezoea kuchangia mada hata zisizowahusu? Hii ni doctor Riwa tu anaweza kujibu.

Msionyeshe ujinga wenu kwa watu, ukimya unamaanisha kuliko kuongea ukaonekana pumbavu.
 
Many women worry that blood clots during period is a sign of something serious.
After all the news about cervical cancer and abnormal pap smears, most women are on the offensive.
However, these changes do not always mean that something is wrong, or out of order. Blood clots during period can be completely normal. In most cases, this is simply your body passing blood too quickly.
blood-clot.jpg

Normal Blood Clots During Period

During your period, your body will release anticoagulants that keep the blood fluid and thinned. However, if your flow is extremely strong, the blood may pass before the anticoagulants can work. In this case, the blood may clot as it is passed.
However, there are times when menstrual blood clots should be a reason for concern. If you are passing clots that are bigger than a quarter on a regular basis, it could be a sign of something else.
In this case you should consult with your doctor immediately to find out the cause. The following conditions could be causing you to pass larger than normal clots.
Hormonal Changes Can Cause Blood Clots During Menstruation

The menstruation cycle can be affected by fluctuations in the hormones progesterone and estrogen. These hormones control how the body sheds the lining of the uterus. When these hormones get out of balance, the wall of the uterus can become very thick.
Once this occurs, you may experience a heavier flow, and more menstrual blood clots. Hormonal changes can be caused by a number of things including menopause, excessive weight loss or gain, or as a result of some medications. In this situation, your doctor may put you on a hormone therapy.
Enlarged Uterus

blood-clots-during-menstruation.jpg
During pregnancy the uterus will become enlarged to accommodate the child you are carrying. After pregnancy, the uterus is supposed to shrink and go back to the normal size.
However, in some cases this may not happen. If the uterus does not shrink, blood may pool inside before being passed on. The blood may begin to clot inside before passing, and you will see several large blood clots during period.
Endometriosis

Endometriosis is a condition where the tissue that is supposed to grow inside the uterus, grows on the outside. This condition can be very serious, and should be treated by a physician.
If this condition develops it can lead to a heavier flow, and excessive clotting during menstruation. This condition can be treated by medication in the early stages, but may require surgery later in development.
In all of these cases, there are treatment options available. However, a doctor will be required for proper diagnosis and treatment. If you suspect that your menstruation cycle has changed or become heavier in the past few months, it is best to contact your physician or gynecologist.
Only they can confirm, through testing, whether the blood clots during period you are experiencing are normal, or a sign of something more serious. This can usually be confirmed through a Pap smear, or ultrasound, conducted by your physician.
 
naweza kupata namba zako?
Umeelezea kifupi sana Kanjunju....kwa miaka mingapi sasa unapata hedhi? kuna mabadiliko yoyote? kama yapo ilikuwaje huko mwanzo tofauti na sasa? Ilianza lini? unapata hedhi kwa jumla ya siku ngapi ukijumlisha hizo 3 unazotoa mabonge? unabadilisha pad mara nagpi kwa siku? zilnaloa damu completely? unapata maumivu makali unapopata hedhi?
Ni maswali muhimu kujua ili kukupa ushauri mzuri...

Generally, hedhi si kawaida kuwa na mabonge ya damu. Mara nyingi mabonge ya damu yanaonyesha kuwa unatoa damu nyingi kupita kawaida kwa hedhi. Damu nyingi inajumuisha pia kutoa kwa siku nyingi (zaidi ya siku 5).

Kama utapenda kuwa na 'privacy' (nakushauri hivyo) ukajibu maswali hayo kwa PM fanya hivyo...nitajitahidi kukupa ushauri unaostahiki.
 
Hivi jamani mnaonaje msio madoctor mkafunga vinywa vyenu kama mabubu. Au mmezoea kuchangia mada hata zisizowahusu? Hii ni doctor Riwa tu anaweza kujibu.

Msionyeshe ujinga wenu kwa watu, ukimya unamaanisha kuliko kuongea ukaonekana pumbavu.

CD...kuna madaktari weengi tu hapa JF Doctor, wana michango mingi mizuri tu. Nakubaliana nawe kuhusu watu wanaotania matatizo ya watu, sio vizuri.
 
Back
Top Bottom