Heeeeeeeelp! Hii hatari jamani nisaidieni

Heeeeeeeelp! Hii hatari jamani nisaidieni

Amoeba

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
3,288
Reaction score
791
Hello wazee!
Naombeni key za RISING ANTIVIRUS 2011, na KASPERSKY INTERNET SECURITY 2011 (Za mwaka mmoja tafadhali), nimezidiwa na wadudu katika sysytem zangu teh teh!
Heshima Mbele.
 
huhitaji kuiba ma software ya watu! Tumia avast home au avira antivir home!
 
huhitaji kuiba ma software ya watu! Tumia avast home au avira antivir home!

Asante, ni wazo zuri pia, lakn usalama mdogo nikitumia hzo-hasa ukizingatia computer iko online masaa 18 kwa siku!
Kwa mtumiaji kama mimi (personal) haiwatii hasara sana....teh teh
 
unataka key au unataka antvirus na kama unataka keys je ni versen ya ngap ya hyo antvirus? Alafu kama unataka keys ukipata keys unataka kudownload antvirus au unataka key ili udownload hy antvirus? Mana cjakuelewa men?
 
Back
Top Bottom