Heeeelp me!!!!

Heeeelp me!!!!

lito jiniaz

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
205
Reaction score
77
jaman wanandugu naomba mniambie madhara(-ve impacts) ya punyote
BE SERIOUS PLZ
 
Kwan unajlipua mara ngap/day?!je una2mia kilainish gan kat ya mafuta,sabuni au chukuchuku?!pia una mda gan toka uanze kujikoa?.Tuanzie hapo chalii!
 
Kama unataka kuwa na uhanithi(uume kutokuwa na nguvu) basi we endelea tu na huo mchezo...
 
Jogoo litakuwa halipandi mtungi hilo shauri yako. Na hata likipanda, ukipewa chejo moja , ama mawili...Wareno waleeeeeee!
 
nialianza kufanya tokea niko o levo sasa chuo kikuu mwaka wa kwanza..... na2mia sabun au loshen nkkosa napga chukuchuku
 
Aaah kila mtu mbona anapiga hata hao walokupa ushauri, sema tunatofautiana kiwango tu, 1 time per week kupunguza streess sio mbaya, lakini sio kila siku mjomba.
 
Aaah kila mtu mbona anapiga hata hao walokupa ushauri, sema tunatofautiana kiwango tu, 1 time per week kupunguza streess sio mbaya, lakini sio kila siku mjomba.

umejuaje kama wanapiga!!!!

sijawahi kukutana na wewe hii avatar yako mmh!!!
 
Nadhan ushapata ushauri wa kutosha......maamuzi ni yako
 
jaman wanandugu naomba mniambie madhara(-ve impacts) ya punyote
BE SERIOUS PLZ

Toa hiyo alama (-),hapo unamaanisha unaomba faida za puli,ngoja nikupe chache:unapunguza ghalama za kuonga na guest house,unajipimia kulingana na mahitajio yako,huwezi pata maambukizi yatokanayo na ngono,punyeto haina talaka wala malumbano nk.
 
Back
Top Bottom