Hehehe Wabongo kuweni na hofu ya Mungu, mbona mtumie picha zetu kusifia SGR yenu

Afu eti kuna mijitu inadhani tumejivunia picha hizo
wakati tumeona katu dharilisha sana kutufananisha na Gari moshi sio karne ya 21
Da! Mwigulu Mungu anakuona
Tumeshatoa karipio kali kuuhakikishia umma na duniani kote kwamba huu uchafu sio mali yetu.
 
Duh mi sijaelewa hapa unatetea au unapinga?!
 
Jirani kuna Mamburula wengi sana ndani ya ccm na Serkali na huu ni mfano tosha kabisa wa hao mburulas.

 
Hicho alichofanya kinaonyesha akili zenu buku7 zilivyo, huwa mnamtungi wa kupika majungu na uongo!
Umesahau ule uongo mliopika mara sijui magfool kawa raisi bora wa kwanza afurika?

Sent using Vertu Signature Cobra
 
Jirani kuna Mamburula wengi sana ndani ya ccm na Serkali na huu ni mfano tosha kabisa wa hao mburulas.
Ndi hao walio kufanya ujue hata kujitawaza
Wamekupa Akili walau kujua sebuleni sio chooni
Mpuuzi ww
 
...unajingine zaidi ya hilo wee kifamba? Maana umeshindwa kujibu hoja unaanza matusi!

Sent using Vertu Signature Cobra
Asa Kuna hoja mpuuzi anaweza jibiwa
uliyo Yaropoka hapo awali ni hoja!!
Unafuata mkumbo huna lolote
Nimesema Picha za Mwigulu hazija tufurahisha maana katushusha sana SGR ya kenya ni utumbo sio yakujivunia na Tumepinga vikali
niheri angefananisha na Ethiopia walau kidogo kenya Hakuna kitu
sasa chakufanya mshoboke nikitu gani!!
Mbona wakenya walisema Daraja la Kigamboni nilao nahaikuwa nshu kuubwa
 
Takataka hii..[emoji706]

Sent using Vertu Signature Cobra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…