Hehehe Wabongo kuweni na hofu ya Mungu, mbona mtumie picha zetu kusifia SGR yenu

Hehehe Wabongo kuweni na hofu ya Mungu, mbona mtumie picha zetu kusifia SGR yenu

Afu eti kuna mijitu inadhani tumejivunia picha hizo
wakati tumeona katu dharilisha sana kutufananisha na Gari moshi sio karne ya 21
Da! Mwigulu Mungu anakuona

Tumeshatoa karipio kali kuuhakikishia umma na duniani kote kwamba huu uchafu sio mali yetu.
 
Hasa kilicho wafanya mshoboke nini
SGR haijengwi Tanzania!!
Mliwahi sema Daraja la Kigamboni ni Lenu kenya
kwani mbona haijawa nshu
Nilikuwa wakwanza kumuambia Mwigulu hiyo sio Tanzania
SGR Tanzania ni nzuri kuliko huo Uozo mtupu
SGR ya Tanzania ina nguzo za Umeme
Duh mi sijaelewa hapa unatetea au unapinga?!
 
Jirani kuna Mamburula wengi sana ndani ya ccm na Serkali na huu ni mfano tosha kabisa wa hao mburulas.

Hii nimeipata imefunguliwa uzi kwenye jukwaa la Watanzania, wanatupiana vijembe huko ila nimeona busara kuileta kwa Wakenya, sijui panic gani imewaingia wadau wa chama chao kile hadi wameamua kujishusha kiasi hiki.
Labda inahusiana na kwamba uchaguzi wao umesalia mwaka mmoja.

Uzi wenyewe huu huku Picha SGR zawaumbua CCM na Makada wao - JamiiForums

View attachment 1001006
 
Kuna picha zakujivunia si
hizo picha ni uharo na ushenzi mtupu
Sijui naye kanywa Tongwa la wapi kaniboa
unkosa chakuchukua ukachukue SGR ya kijinga jinga hovyo kabisa
SGR zetu ni Bora mara 100 kuliko upumbavu huo
mwigulu wacha Dharau Usifananisha SGR ya Tanzania na ujinga Umeboa
Hicho alichofanya kinaonyesha akili zenu buku7 zilivyo, huwa mnamtungi wa kupika majungu na uongo!
Umesahau ule uongo mliopika mara sijui magfool kawa raisi bora wa kwanza afurika?

Sent using Vertu Signature Cobra
 
Jirani kuna Mamburula wengi sana ndani ya ccm na Serkali na huu ni mfano tosha kabisa wa hao mburulas.
Ndi hao walio kufanya ujue hata kujitawaza
Wamekupa Akili walau kujua sebuleni sio chooni
Mpuuzi ww
 
...unajingine zaidi ya hilo wee kifamba? Maana umeshindwa kujibu hoja unaanza matusi!

Sent using Vertu Signature Cobra
Asa Kuna hoja mpuuzi anaweza jibiwa
uliyo Yaropoka hapo awali ni hoja!!
Unafuata mkumbo huna lolote
Nimesema Picha za Mwigulu hazija tufurahisha maana katushusha sana SGR ya kenya ni utumbo sio yakujivunia na Tumepinga vikali
niheri angefananisha na Ethiopia walau kidogo kenya Hakuna kitu
sasa chakufanya mshoboke nikitu gani!!
Mbona wakenya walisema Daraja la Kigamboni nilao nahaikuwa nshu kuubwa
 
Asa Kuna hoja mpuuzi anaweza jibiwa
uliyo Yaropoka hapo awali ni hoja!!
Unafuata mkumbo huna lolote
Nimesema Picha za Mwigulu hazija tufurahisha maana katushusha sana SGR ya kenya ni utumbo sio yakujivunia na Tumepinga vikali
niheri angefananisha na Ethiopia walau kidogo kenya Hakuna kitu
sasa chakufanya mshoboke nikitu gani!!
Mbona wakenya walisema Daraja la Kigamboni nilao nahaikuwa nshu kuubwa
Takataka hii..[emoji706]

Sent using Vertu Signature Cobra
 
Back
Top Bottom