Lazima utasema hivyo Sababu ww ni Kibendera sana
Wewe Bwana mdogo, naona unatafuta ligi usiyoiweza! Hebu rudia huo uharo ulioandika uone ni nani kilaza...!!Lazima utasema hivyo Sababu ww ni Kibendera sana
Hii haikuwa nshu kwetu leo nyie Vibendera fuata upepo mlivyl Vilaza mlio ishiwa hoja zamaana mmeshoboka Vimbele mbele kama vifaranga vya Kanga
Hii Inakuwaje[emoji107][emoji107]View attachment 1001404
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno "Angalao" lina maana ganiWewe Bwana mdogo, naona unatafuta ligi usiyoiweza! Hebu rudia huo uharo ulioandika uone ni nani kilaza...!!
Ungeandika basi angalao ukiwa umetulia, au ulikuwa unakimbilia chooni kuharisha huu uvundo ulioandika?
Sent using Vertu Signature Cobra
Labda nikuambie Huna ubavu wakuweka Ligi na mieWewe Bwana mdogo, naona unatafuta ligi usiyoiweza! Hebu rudia huo uharo ulioandika uone ni nani kilaza...!!
Ungeandika basi angalao ukiwa umetulia, au ulikuwa unakimbilia chooni kuharisha huu uvundo ulioandika?
Sent using Vertu Signature Cobra
Wewe ni wa kupuuzwa tu...!Neno "Angalao" lina maana gani
hebu tuanzie hapo
Basi umejiongeza ndio maana Nikakuambia huna uwezo wakuweka ligi namie neverWewe ni wa kupuuzwa tu...!
Sina haja ya kuwa na ligi na wewe kwenye huu uzi!
Kama unataka ligi na majibu ya hilo unalouliza, kaanzishe uzi wa ligi unitag nije ni kunyooshe!
Nimeona wewe ni mweupe kabisa kichwani, zezeta tu!
Kwa hapa sitokujibu tena, uharo wako wowote utakaoandika...!
Sent using Vertu Signature Cobra
Lazima utasema hivyo Sababu ww ni Kibendera sana
Hii haikuwa nshu kwetu leo nyie Vibendera fuata upepo mlivyl Vilaza mlio ishiwa hoja zamaana mmeshoboka Vimbele mbele kama vifaranga vya Kanga
Hii Inakuwaje[emoji107][emoji107]View attachment 1001404
Sent using Jamii Forums mobile app
CCm hawa wezi jenga SGR WAP wanacopy picha za Kenya tu @ Tanzania bado tuko nyuma kwasababu ya mdudu CCMBasi umejiongeza ndio maana Nikakuambia huna uwezo wakuweka ligi namie never
Ukitaka majibu yakipumbavu tutaenda hivyo
Kabla hujamkosoa mwenzie anza kujikosoa
ulipoona Kosa la uandishi langu ukaona umepata Hoja kumbe Ulipo nisawa na kuruka Sarakasi umevaa taulo kilaza mkubwa tembea mbele
Tena huyu ni mtanzania wa tatu nimeshuhudia akijimilikisha reli ya Kenya.
Ukweli usemwe, hawa watu bali na kuiponda SGR ya Kenya wanaimezea mate. Mturuki anawajengea low quality rail japo wengi hawalifahamu hili.Itawagharimu sana ku~maintain. Endeleeni kuringa na reli ya umeme na bullet trains zilizo kwa picha lakini muache kuponda vya wenyewe na ndivyo hivi mnavitumia kuwahadaa wananchi.
Aaah mokorino, Mimi hata sijagadhabishwa na kitendo hiki. Kama nilivyosema hapo juu hii ni mara ya tatu kuona jambo hili.Nimetoa maoni yangu tu na kuwakemea nyie mnayodhalilisha reli ya Kenya halafu mnaiposti mitandaoni mkisemani yenu. Ni vibaya mno
Zingekuwa zetu ni bora si angeweka picha zetu? Ma CCM mnaaibisha nchiSGR zetu ni Bora mara 100 kuliko upumbavu huo
Sasa hiyo ndiyo SGR ambayo mwanaCCM Nchemba alitakiwa aiweke?Ccm kwa muda wa Miaka 3
ndio Imelifanya taifa hili kwenda Mbio za SGR ya Umeme hahaha
View attachment 1001276View attachment 1001277View attachment 1001278
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nimeipata imefunguliwa uzi kwenye jukwaa la Watanzania, wanatupiana vijembe huko ila nimeona busara kuileta kwa Wakenya, sijui panic gani imewaingia wadau wa chama chao kile hadi wameamua kujishusha kiasi hiki.
Labda inahusiana na kwamba uchaguzi wao umesalia mwaka mmoja.
Uzi wenyewe huu huku Picha SGR zawaumbua CCM na Makada wao - JamiiForums
View attachment 1001006[
sasa nikuwazie mabaya vp jaman jirani yangu mpendwaaaaa, mi nimekupa tu vi angalizo maana niliyoyasikia kwa Zambia yanaumiza ss nikahofu endapo mchina akiichukua JKIA itakuwaje jaman na Nairobi kulivyo kuzuri hakika mchina hatatokaTena hawachukui bandari? Ni JKIA sasa? Mbongo huwazia mkenya mabaya kila siku
Kama ni nzuri mbona mkaweka Picha za ya Kenya????Ficha upumbavu wako na wewe aibu ipi kwalipi hasa
Tena SGR ya Tanzania ni nzuri kuliko upuuzi huo
Zingekuwa zetu ni bora si angeweka picha zetu? Ma CCM mnaaibisha nchi