Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu bana...Inji ndio mnyama mgani?Kutwa kuhangaika na inji yetu tamu zaidi ya asali tu,tena inaonekana hata ukilala unaiwaza tu na ndio maana umeipost alfajiri ya leo.
Hamia tu huku mzeebabaaaaaa inaonekana unaifuatilia sana zaidi hata ya wanainjii wenyewe wana yoifuatilia injii yao yenye mabomba yanayotiririsha maziwa.
Kamwe hiyo inji haiwezi kutetereka kwa vibwagizo mbuzi kama hivyo.
Tupo kwenye rait trak na very soon tutakuwa dona kantry tena fully kwenu,ngoja tukamilishe miradi yetu ya uhakika na tukianza kukusanya pesa hakuna wa kuturudisha back
Mungu ibariki inji ya Tanzaniaaa
Mungu wabariki wanainji wa Tanzania.
Hapa kazi tu.
Elimu bana...Inji ndio mnyama mgani?
Sijui hili la wapi...ona anavyorudia rudia neno 'wanainji'.
Hawataki elimu, kuna humo kwenye video anasema alimuachia mwalimu elimu.
Ushanyooka, hapa sio Madagascar.Wa Kericho na mtanyooka tu humu haters
Ushanyooka, hapa sio Madagascar.
Ipo hata Kenya na watu hudunda pia, ila hutakuta Wakenya wanapwaya kwa maswali mepesi kiasi hiki.
Madagascar iko wapi according to Tanzagiza IQ? 😂😂😂Wadanganye watu wasio jua, wewe ni mbumbumbu kinoma [emoji23][emoji23][emoji23]
Madagascar iko wapi according to Tanzagiza IQ? [emoji23][emoji23][emoji23]
waaah….Then lazima dar is a slum ni capital city ya zanzibar
Ipo hata Kenya na watu hudunda pia, ila hutakuta Wakenya wanapwaya kwa maswali mepesi kiasi hiki.
Ameongea kama nyie wakenyaElimu bana...Inji ndio mnyama mgani?
Nairoberry ni makao makuu ya slums duniani sio afrikq pekee mkuuKila mtu anafahamu Nairobi ni makao makuu ya slum Africa
Nairoberry ni makao makuu ya slums duniani sio afrikq pekee mkuu
Na alijua akiongea kiswahili safi huwa hawaelewAmeongea kama nyie wakenya