Hekima imuelekeze Mbowe kujiepusha na midahalo holela, badala yake ajikite kumobilize wajumbe wa mkutano mkuu ili apate ushindi wa kishindo kwa haki

Hekima imuelekeze Mbowe kujiepusha na midahalo holela, badala yake ajikite kumobilize wajumbe wa mkutano mkuu ili apate ushindi wa kishindo kwa haki

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hakuna haja wala sababu ya maana au ya msingi hata moja kwa Freeman Mbowe kupoteza muda wake na kushiriki midahalo ambayo ni wazi ina ushari ndani yake, na isiyo na tija wala maana yoyote, badala yake aelekeze nguvu na jitihada zake za kisiasa kucosolidate strong holds zake za wajumbe na kumobilize wajumbe wa mkutano mkuu Taifa, na kujipanga nao vizuri ili hatimae kujihakikishia ushindi wa uhakika, wa kishindo kwa uhuru, haki na uwazi.

Zaidi sana,
Ajiandae na maandalizi mengine muhimu mathalani, ya kuweka vipaumbele vya mambo muhimu ambayo atayaweka wazi mkutanoni, siku ya kujieleza wakati wa kuomba kura, mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ambao ndio waamuzi wa mwisho wa nani awe kiongozi wa Chadema Taifa.

My friends ladies and gentlemen, Je,
mdahalo huo unaopendekezwa una faida gani hasa, na ni kwa maslahi ya nani, wakati wagombea wana nafasi na fursa ya kujieleza kikamilifu mbele ya wajumbe zaidi ya 1000, wa mkutano mkuu wa chadema Taifa siku ya uchaguzi?

mbona kama kuna dalili za kishirikina? mnataka kumroga chairman ee, au kufurahisha mabenyenye ya magharibi yanayomfadhili Kibaraka?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwenye kumobilize wajumbe wa Mkutano Mkuu hilo Sina shaka kwamba Mbowe analiweza sana na ndio maana Lissu amekuwa akiloloma sana ili aonewe huruma na akishindwa aonekane kaonewa!

Ila kwenye kuwa na mdahalo, siungi mkono Mbowe kuukwepa. Chadema na vyama vingine vya upinzani vimekuwa vikitaka midahalo na wagombea wa CCM kwa ngazi mbalimbali japo CCM imekuwa ikikwepa. Sasa hili kuonesha midahalo ni mizuri na CCM isiwe inakwepa, Mbowe aingie kwenye mdahalo na Lissu tuone mbivu na mbichi za kila mtu!
 
Hata Mbowe akipata kura 100, chadema is over.

Chadema hawatakua na hoja tena ya kuwaambia watu eti ccm imeng'ang'ania madaraka miaka 65 wakati mwenyekiti ameng'ang'ania madaraka miaka 20 na zaidi.

Mwakani Kibajaji watapeleka hoja ya kubadilisha katiba Samia atawale milele, chadema hawatakua na hoja ya kupinga.

Chadema itaungana na wenzao kina cuf na nccr mageuzi icu kusubiri kuzikwa tu.

Na mimi nakuombea Mbowe ashinde kwa kishindo uchaguzi ujao ili ccm iwakaange vizuri mwakani.
 
Hakuna haja wala sababu ya maana au ya msingi hata moja kwa Freeman Mbowe kupoteza muda wake na kushiriki midahalo ambayo ni wazi ina ushari ndani yake, na isiyo na tija wala maana yoyote, badala yake aelekeze nguvu na jitihada zake za kisiasa kucosolidate strong holds zake za wajumbe na kumobilize wajumbe wa mkutano mkuu Taifa, na kujipanga nao vizuri ili hatimae kujihakikishia ushindi wa uhakika, wa kishindo kwa uhuru, haki na uwazi.

Zaidi sana,
Ajiandae na maandalizi mengine muhimu mathalani, ya kuweka vipaumbele vya mambo muhimu ambayo atayaweka wazi mkutanoni, siku ya kujieleza wakati wa kuomba kura, mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ambao ndio waamuzi wa mwisho wa nani awe kiongozi wa Chadema Taifa.

My friends ladies and gentlemen, Je,
mdahalo huo unaopendekezwa una faida gani hasa, na ni kwa maslahi ya nani, wakati wagombea wana nafasi na fursa ya kujieleza kikamilifu mbele ya wajumbe zaidi ya 1000, wa mkutano mkuu wa chadema Taifa siku ya uchaguzi?

mbona kama kuna dalili za kishirikina? mnataka kumroga chairman ee, au kufurahisha mabenyenye ya magharibi yanayomfadhili Kibaraka?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Marafiki wapya wa mwamba ni chui waliovaa ngozi ya kondoo
 
Mbowe huyu tulimwamini kumbe anakula kotekote. Na chadema ameifanya kikoba kabisa.
 
Nilichojifunza kwenye huu uzi wako;

1:Mbowe hana hoja na hawezi akajenga hoja kumzidi Lissu

2:CCM mnamuogopa sana Lissu na mnaomba usiku na mchana FAM ashinde ili muweze kumuendesha………Mnajua kabisa akiingia Simba TAL yeye ndiye atawaendesha na atawapelekea moto vibaya sana

3:Ni utaratibu wa kiongozi dhaifu kukimbia midahalo,unahisi wapiga kura wa “Mwamba tuvushe” atawapatia wapi ikiwa hataki hoja zake ziwe public!??

4:Nchi inamuhitaji Lissu kuliko Lissu anavyo ihitaji Nchi/CHADEMA

Tulia dawa ikuingie taratibu wewe Chawa na hapo bado,safari hii mtaomba TAL apotee kabisa hapa duniani na yeye anafahamu hilo coz hana cha kupoteza
 
Nyie uvCCM ni wanafiki sana.. juzi tu hapa kwenye maandamano ya Mbowe mlimpinga sana alipokuwa akitetea swala Zima la utekaji. Leo mnaona Lissu anaenda kuwa mwenyekiti mmejirudi kwa Mbowe. Msisahau mwisho wa unafiki ni aibu
 
Marafiki wapya wa mwamba ni chui waliovaa ngozi ya kondoo
Gentleman,
hembu elezea wadau kwa kifupi sana, faida mbili tu, za mdahalo huo wa jumla, huku pakiwa na fursa na nafasi ya wagombea kujieleza mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ambao ndio waamuzi wa mwisho 🐒
 
Kwenye kumobilize wajumbe wa Mkutano Mkuu hilo Sina shaka kwamba Mbowe analiweza sana na ndio maana Lissu amekuwa akiloloma sana ili aonewe huruma na akishindwa aonekane kaonewa!

Ila kwenye kuwa na mdahalo, siungi mkono Mbowe kuukwepa. Chadema na vyama vingine vya upinzani vimekuwa vikitaka midahalo na wagombea wa CCM kwa ngazi mbalimbali japo CCM imekuwa ikikwepa. Sasa hili kuonesha midahalo ni mizuri na CCM isiwe inakwepa, Mbowe aingie kwenye mdahalo na Lissu tuone mbivu na mbichi za kila mtu!
aingie kwenye mdahalo ili iweje?

nini hasa dhima ya huo mdahalo wa jumla?

wagombea uongozi wa chadema wana nafasi na fursa ya kujieleza na kuwashawishi wajumbe wa mkutano mkuu Taifa ili hatimae wapigiwe kura na hatimae kupimana nguvu kwenye sanduku la kura.

huo mdahalo unalenga nini au matokeo yake ni nini?

kujifurahisha?
au kufurahisha mabenyenye ya ya Magharibi?🐒
 
Hakuna haja wala sababu ya maana au ya msingi hata moja kwa Freeman Mbowe kupoteza muda wake na kushiriki midahalo ambayo ni wazi ina ushari ndani yake, na isiyo na tija wala maana yoyote, badala yake aelekeze nguvu na jitihada zake za kisiasa kucosolidate strong holds zake za wajumbe na kumobilize wajumbe wa mkutano mkuu Taifa, na kujipanga nao vizuri ili hatimae kujihakikishia ushindi wa uhakika, wa kishindo kwa uhuru, haki na uwazi.

Zaidi sana,
Ajiandae na maandalizi mengine muhimu mathalani, ya kuweka vipaumbele vya mambo muhimu ambayo atayaweka wazi mkutanoni, siku ya kujieleza wakati wa kuomba kura, mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ambao ndio waamuzi wa mwisho wa nani awe kiongozi wa Chadema Taifa.

My friends ladies and gentlemen, Je,
mdahalo huo unaopendekezwa una faida gani hasa, na ni kwa maslahi ya nani, wakati wagombea wana nafasi na fursa ya kujieleza kikamilifu mbele ya wajumbe zaidi ya 1000, wa mkutano mkuu wa chadema Taifa siku ya uchaguzi?

mbona kama kuna dalili za kishirikina? mnataka kumroga chairman ee, au kufurahisha mabenyenye ya magharibi yanayomfadhili Kibaraka?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Eti mapumbavu ya ccm ndio yanamshauri mbowe halafu wajumbe wachague anayepigiwa debe na hayo maccm yasiyokuwa na ushawishi Hadi yanaengua wagombea wa chama chake ila Leo ayasikilize, ni mpumbavu pekee anayeweza kupokea ushauri wa wafuasi wa ccm 🪛🪛🪛
 
Gentleman,
hembu elezea wadau kwa kifupi sana, faida mbili tu, za mdahalo huo wa jumla, huku pakiwa na fursa na nafasi ya wagombea kujieleza mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ambao ndio waamuzi wa mwisho 🐒
Sijafuatilia chochote hivyo siwezi kuelezea lolote
 
Hata Mbowe akipata kura 100, chadema is over.

Chadema hawatakua na hoja tena ya kuwaambia watu eti ccm imeng'ang'ania madaraka miaka 65 wakati mwenyekiti ameng'ang'ania madaraka miaka 20 na zaidi.

Mwakani Kibajaji watapeleka hoja ya kubadilisha katiba Samia atawale milele, chadema hawatakua na hoja ya kupinga.

Chadema itaungana na wenzao kina cuf na nccr mageuzi icu kusubiri kuzikwa tu.

Na mimi nakuombea Mbowe ashinde kwa kishindo uchaguzi ujao ili ccm iwakaange vizuri mwakani.
Kamuulize marehemu wenu chato aliyeahidi kuiuwa chadema mtaota sana na msipoandaa mafungu ya polisi kuwalipa ili muwatumie kama trash mtalia kilio hata wa kuwanyamazisha hatakuwepo by the way endelea kuota kuwa chadema imekufa huku unaijadili.
 
aingie kwenye mdahalo ili iweje?

nini hasa dhima ya huo mdahalo wa jumla?

wagombea uongozi wa chadema wana nafasi na fursa ya kujieleza na kuwashawishi wajumbe wa mkutano mkuu Taifa ili hatimae wapigiwe kura na hatimae kupimana nguvu kwenye sanduku la kura.

huo mdahalo unalenga nini au matokeo yake ni nini?

kujifurahisha?
au kufurahisha mabenyenye ya ya Magharibi?🐒
Mbowe sio mpumbavu kama wafuasi wa kizmkazi na ccm hivyo hawez kusikiliza ushauri wa wapumbavu 🪛🪛🪛🪛🪛
 
Sijafuatilia chochote hivyo siwezi kuelezea lolote
well and good,
basi ni muhimu zaidi ukipata nafasi ufuatilie vyema jambo hili, vinginevyo zingatia maelezo mafupi ya msingi kwenye hoja mahususi mezani 🐒
 
Hakuna haja wala sababu ya maana au ya msingi hata moja kwa Freeman Mbowe kupoteza muda wake na kushiriki midahalo ambayo ni wazi ina ushari ndani yake, na isiyo na tija wala maana yoyote, badala yake aelekeze nguvu na jitihada zake za kisiasa kucosolidate strong holds zake za wajumbe na kumobilize wajumbe wa mkutano mkuu Taifa, na kujipanga nao vizuri ili hatimae kujihakikishia ushindi wa uhakika, wa kishindo kwa uhuru, haki na uwazi.

Zaidi sana,
Ajiandae na maandalizi mengine muhimu mathalani, ya kuweka vipaumbele vya mambo muhimu ambayo atayaweka wazi mkutanoni, siku ya kujieleza wakati wa kuomba kura, mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ambao ndio waamuzi wa mwisho wa nani awe kiongozi wa Chadema Taifa.

My friends ladies and gentlemen, Je,
mdahalo huo unaopendekezwa una faida gani hasa, na ni kwa maslahi ya nani, wakati wagombea wana nafasi na fursa ya kujieleza kikamilifu mbele ya wajumbe zaidi ya 1000, wa mkutano mkuu wa chadema Taifa siku ya uchaguzi?

mbona kama kuna dalili za kishirikina? mnataka kumroga chairman ee, au kufurahisha mabenyenye ya magharibi yanayomfadhili Kibaraka?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wakati ule wa maandamano ya Chadema ulikuwa upande ule wa barabara, sasa uko upande huu wa barabara, eti?
 
Si anajiamini na kujiita mwamba? Aende kwenye mdahalo akagagaragazwe na lissu kama jinsi tramp alivyomgaragaza biden mpaka ikabidi ashauriwe asigombee tena urais. Naye mbowe akigaragazwa atashauriwa ajitoe kugombea tena uenyekiti
 
Mbowe sio mpumbavu kama wafuasi wa kizmkazi na ccm hivyo hawez kusikiliza ushauri wa wapumbavu 🪛🪛🪛🪛🪛
relax tu gentleman,

ni hiyari yake kuzingatia au kutozingatia ushauri huu wa kitaalamu na kisayansi sana,

vinginevyo,
ni muhimu sana ukawa muungwana, na mwenye staha kwenye mijadala mbalimbali 🐒
 
Back
Top Bottom