Hii ngoma ya bandari haijaisha, wote wanaojielewa wanaendelea kupinga ule mkataba wa maigizo walioingia ili kutufunga midomo, haiwezekani kujenga nyumba nzuri juu ya msingi mbovu, huo ni utapeli wa mchana kweupe.
Mkataba hawajatuonesha, wanasema tu una hiki na kile kama vile sisi ni watoto wadogo tusiojua kusoma na kuandika, wamefeli, hawaaminiki tena, wale wote walioingia ule mkataba mpya wana mikono michafu.