Heko kwenu nyote mnaosimama na CAG dhidi ya majizi

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Yamesikika mengi kuhusu ripoti ya CAG. Haikubaliki jiwe kuachwa juu ya jingine.



Maendeleleo hayana chama hatimaye tuko hapa:



Haikuwa rahisi kufika hapo.

Pongezi kwao wote waliosimama imara kupambana na majizi, yatake yasitake. Jizi ni jizi tu, makazi yake ya kudumu ni Kisongo na Segerea huko.



Masheikh wanaojitambua wamenena.

Vipi wale wengine?
 
Naona muhimili wa kurekebisha tabia ulienda hatua moja mbele kwa kasi ya mwanga, na sasa umepiga hatua tatu nyuma...🀣

Hawakuwa wameyakadiria maji vizuri.

La msingi zaidi ni kuwa wamelazimika kupiga hatua tatu nyuma.

Na bado!
 
Sidhani kama ulimuelewa Spika Tulia

Si ulishasema kiswahili ni lugha rahisi isiyohitaji ufafanuzi? Kwani nini usichoelewa hapa?



Kwani palikuwa na nia ipi fiche ndugu?

Hapa napo bado huelewi nini?



Kwani wewe unadhani ni matokeo ya kuisha kwa fungo za Kwaresma na IDD?
 
Halina Mdee: Waliotajwa kwenye ripoti ya CAG tutawahoji mwezi August! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Halina Mdee: Waliotajwa kwenye ripoti ya CAG tutawahoji mwezi August! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwani August ni November ndugu? Masheikh wanataka zege lisilale. Waungwana wote wanataka ngoma isilale.

Kulikoni wewe unataka zege lilale ndugu? Au wewe ni katika wale majizi walengwa wa Mh. Mpina?
 
Kwani August ni November ndugu? Masheikh wanataka zege lisilale. Waungwana wote wanataka ngoma isilale.

Kulikoni wewe unataka zege lilale ndugu? Au wewe ni katika wale majizi walengwa wa Mh. Mpina?
Hiyo ripoti italetwa ukumbini na Halima Mdee na Mama Kaboyoka mwezi November baada ya kuifanya Kazi mwezi August
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…