HEKO: mama ameupiga mwingi , sikukuu ya mwaka huu imekuwa na shamra shamra bidhaa zinauzika kweli kweli!

HEKO: mama ameupiga mwingi , sikukuu ya mwaka huu imekuwa na shamra shamra bidhaa zinauzika kweli kweli!

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Pamoja na bidhaa kuwa juu,
Kama vile mafuta, sukari, n.k

Vile vile Tozo na kodi nyingi,
Bado sikukuu ya mwaka huu inaweza kuwa ya kipekee kulinganisha na zamani za pontio pilato,

Watu wamesafiri sana,
Bidhaa zimenunuliwa na kuuzwa sana,

Basi tumpongeze!

Kisha tumsihi aboreshe yaliyosalia..
Kama vile
1. Katiba mpya ambayo italeta
2. Tume huru ya uchaguzi itakayosababisha
3. Kesi kama za akina mbowe zisiwepo kisha kutakuwa na
4. Umoja wa Kitaifa baada ya
5. Mafuta ya petrol na bidhaa nyingine muhimu kushuka bei..
Nawatakia Sikukuu njema

KWA wale wanaosafiri na magari Binafsi niwasihi kama wamebeba vilevi basi wavitumie mwisho wa safari
 
Asimamie ulipwaji wa Malimbikizo ya watumishi ufanyike kwa haki.

Wote tunahitaji na stahiki zetu.Sio wachache waneemeke wengine tusote sio sawa.

WAZIRI MCHENGERWA,SITAKI KUAMINI KUWA NA KUJINADI KOOOTE KULE ULIPOKUWA KIGOMA DECEMBER HII 2021.BADO TUPO WA MWAKA 2019 TUNAODAI MALIMBIKIZO YA MISHAHARA,LICHA YA KUTUHAKIKISHIA KABISA ZIPO BILIONI 30 KWA AJILI YA MALIPO KWA WATUMISHI 18,000.

KWA KWELI NI BORA HATA USINGETUAMBIA,UKIZINGATIA NI MADAI YA MUDA MREFU.NA PIA IMANI TULIONAYO JUU YAKO.HAKIKA UMETUANGUSHA SANA.

HII NI FEDHEHA KUBWA SANA KWAKO NA KWA WIZARA YAKO.

JIPANGE NA ULISIMAMIE HILI VYEMA,MAANA LIPO KWENYE UWEZO WAKO.
 
Pamoja na bidhaa kuwa juu,
Kama vile mafuta, sukari, n.k

Vile vile Tozo na kodi nyingi,
Bado sikukuu ya mwaka huu inaweza kuwa ya kipekee kulinganisha na zamani za pontio pilato,

Watu wamesafiri sana,
Bidhaa zimenunuliwa na kuuzwa sana,

Basi tumpongeze!

Kisha tumsihi aboreshe yaliyosalia..
Kama vile
1. Katiba mpya ambayo italeta
2. Tume huru ya uchaguzi itakayosababisha
3. Kesi kama za akina mbowe zisiwepo kisha kutakuwa na
4. Umoja wa Kitaifa baada ya
5. Mafuta ya petrol na bidhaa nyingine muhimu kushuka bei..
Nawatakia Sikukuu njema

KWA wale wanaosafiri na magari Binafsi niwasihi kama wamebeba vilevi basi wavitumie mwisho wa safari

Lunatic
 
Asimamie ulipwaji wa Malimbikizo ya watumishi ufanyike kwa haki.

Wote tunahitaji na stahiki zetu.Sio wachache waneemeke wengine tusote sio sawa.

WAZIRI MCHENGERWA,SITAKI KUAMINI KUWA NA KUJINADI KOOOTE KULE ULIPOKUWA KIGOMA DECEMBER HII 2021.BADO TUPO WA MWAKA 2019 TUNAODAI MALIMBIKIZO YA MISHAHARA,LICHA YA KUTUHAKIKISHIA KABISA ZIPO BILIONI 30 KWA AJILI YA MALIPO KWA WATUMISHI 18,000.

KWA KWELI NI BORA HATA USINGETUAMBIA,UKIZINGATIA NI MADAI YA MUDA MREFU.NA PIA IMANI TULIONAYO JUU YAKO.HAKIKA UMETUANGUSHA SANA.

HII NI FEDHEHA KUBWA SANA KWAKO NA KWA WIZARA YAKO.


JIPANGE NA ULISIMAMIE HILI VYEMA,MAANA LIPO KWENYE UWEZO WAKO.
Kuna awamu mbili, ya kwanza wameshalipwa hivyo imebaki awamu nyingine na ukiona haujalipwa basi Anza kuhakiki taarifa zako mapema.
 
Basi heri...

Any way wengine sikuku siyo washerekeaji

Ova
 
Kuna awamu mbili, ya kwanza wameshalipwa hivyo imebaki awamu nyingine na ukiona haujalipwa basi Anza kuhakiki taarifa zako mapema.
Hivi unakumbuka kipindi cha nyuma walikuwa wanatoa kabisa list?Hadi kwenye magazeti ya serikali mkuu?Wangetoa basi orodha ili wadau wahakiki taarifa zao kama yaliyomo yamo.Hii ya kimya kimya sio poa.Maana wapo wapigaji wanaweza wakatumia loophole kujineemesha,halafu wakafoji takwimu.Kuna watu hawana maana mkuu!
 
Asimamie ulipwaji wa Malimbikizo ya watumishi ufanyike kwa haki.

Wote tunahitaji na stahiki zetu.Sio wachache waneemeke wengine tusote sio sawa.

WAZIRI MCHENGERWA,SITAKI KUAMINI KUWA NA KUJINADI KOOOTE KULE ULIPOKUWA KIGOMA DECEMBER HII 2021.BADO TUPO WA MWAKA 2019 TUNAODAI MALIMBIKIZO YA MISHAHARA,LICHA YA KUTUHAKIKISHIA KABISA ZIPO BILIONI 30 KWA AJILI YA MALIPO KWA WATUMISHI 18,000.

KWA KWELI NI BORA HATA USINGETUAMBIA,UKIZINGATIA NI MADAI YA MUDA MREFU.NA PIA IMANI TULIONAYO JUU YAKO.HAKIKA UMETUANGUSHA SANA.

HII NI FEDHEHA KUBWA SANA KWAKO NA KWA WIZARA YAKO.

JIPANGE NA ULISIMAMIE HILI VYEMA,MAANA LIPO KWENYE UWEZO WAKO.
Mkuu kuwa na subira kidogo maana malipo yameanza kwa awamu wameanza kulipwa wale wa 2018 mwanzoni,, Kwahiyo natumaini mtalipwa tu Mkuu kuwa na subira kidog
 
Mkuu kuwa na subira kidogo maana malipo yameanza kwa awamu wameanza kulipwa wale wa 2018 mwanzoni,, Kwahiyo natumaini mtalipwa tu Mkuu kuwa na subira kidog
Sawa mkuu,tuombe heri tu ndugu.
 
Mkuu kuwa na subira kidogo maana malipo yameanza kwa awamu wameanza kulipwa wale wa 2018 mwanzoni,, Kwahiyo natumaini mtalipwa tu Mkuu kuwa na subira
Sawa mkuu,sema wapo wenzetu wa 2019.Dah,inakera sana kwa kweli.Hiyo awamu nyingine sijui hata itakuwa lini!
 
Sawa mkuu,sema wapo wenzetu wa 2019.Dah,inakera sana kwa kweli.Hiyo awamu nyingine sijui hata itakuwa lini!
Usijali Mkuu,,, ila sometime itakua wengine wa 2019 kama wapo waliolipwa inawezekn waliwahi kupeleka zile taarifa zao ila nachokumbuka mafile yalipangwa kulingana na miaka ya madai,,, tuombe heri mkuu utapata tu maana saizi mwanga umeonekana wadau wanalipwa kama wiki hii yote wadau wanalipwa,,, pia kuna wadau ninaowajua kama 9 hivi wameingiziwa siku ya Alhamisi sa1 usiku na bado awamu inaendelea tuombe heri nawe utakua kwenye orodha.
 
  • Thanks
Reactions: EZJ
Kuna awamu mbili, ya kwanza wameshalipwa hivyo imebaki awamu nyingine na ukiona haujalipwa basi Anza kuhakiki taarifa zako mapema.
Kweli Mkuu zikipita awamu hizi 2 na hajalipwa ahakiki taarifa zake vizuri
 
Pamoja na bidhaa kuwa juu,
Kama vile mafuta, sukari, n.k

Vile vile Tozo na kodi nyingi,
Bado sikukuu ya mwaka huu inaweza kuwa ya kipekee kulinganisha na zamani za pontio pilato,

Watu wamesafiri sana,
Bidhaa zimenunuliwa na kuuzwa sana,

Basi tumpongeze!

Kisha tumsihi aboreshe yaliyosalia..
Kama vile
1. Katiba mpya ambayo italeta
2. Tume huru ya uchaguzi itakayosababisha
3. Kesi kama za akina mbowe zisiwepo kisha kutakuwa na
4. Umoja wa Kitaifa baada ya
5. Mafuta ya petrol na bidhaa nyingine muhimu kushuka bei..
Nawatakia Sikukuu njema

KWA wale wanaosafiri na magari Binafsi niwasihi kama wamebeba vilevi basi wavitumie mwisho wa safari
Umeongea sana lkn Dar hakuna hata maji ya kutawadhia vyooni.
Sijui Kama wajua ya kwamba huduma ya maji Ni very basic.
 
Usijali Mkuu,,, ila sometime itakua wengine wa 2019 kama wapo waliolipwa inawezekn waliwahi kupeleka zile taarifa zao ila nachokumbuka mafile yalipangwa kulingana na miaka ya madai,,, tuombe heri mkuu utapata tu maana saizi mwanga umeonekana wadau wanalipwa kama wiki hii yote wadau wanalipwa,,, pia kuna wadau ninaowajua kama 9 hivi wameingiziwa siku ya Alhamisi sa1 usiku na bado awamu inaendelea tuombe heri nawe utakua kwenye orodha.
Ameeeeeen mkuu.Kusema kweli Mwanga umeanza kuonekana .Na ikawe heri ,nami niwemo kwenye orodha!
 
Kweli hata Mimi nimejazwa minoti af uzur naumwa homa sitakula Bata mpk mwakan au never Tena maana starehe hazina maana na pesa NI chanzo Cha uovu sitaki kusahau hili.
 
Usijali Mkuu,,, ila sometime itakua wengine wa 2019 kama wapo waliolipwa inawezekn waliwahi kupeleka zile taarifa zao ila nachokumbuka mafile yalipangwa kulingana na miaka ya madai,,, tuombe heri mkuu utapata tu maana saizi mwanga umeonekana wadau wanalipwa kama wiki hii yote wadau wanalipwa,,, pia kuna wadau ninaowajua kama 9 hivi wameingiziwa siku ya Alhamisi sa1 usiku na bado awamu inaendelea tuombe heri nawe utakua kwenye orodha.
Mkuu unaposema Alhamis una maanisha jana tarehe 23/12/2021 ndio hao wadau waliingiziwa malimbikizo yao au?
 
Mkuu unaposema Alhamis una maanisha jana tarehe 23/12/2021 ndio hao wadau waliingiziwa malibikizo
Ndio kuna mmja alinambia jana wengine niliowashuhudià mwenyew ilikua n jumatano Mkuu
 
  • Thanks
Reactions: EZJ
Back
Top Bottom