Heko mbunge Katani kwa kutetea ajira za wahifadhi & Askari wanyamapori

Heko mbunge Katani kwa kutetea ajira za wahifadhi & Askari wanyamapori

Joined
Jan 7, 2023
Posts
79
Reaction score
80
Wasalaam ,

Hongera mhe Mbunge kwa kutetea tatizo kubwa la ajira hapa nchini hasa ktk Wizara ya Maliasili wakati akichangia Wizara ya Utumishi & Utawala Bora kwamba tatizo la ajira nchini limekuwa janga kubwa ambalo viongozi na watawala wamekuwa hawalipi uzito na umuhimu wake na hasa kigezo cha umri wa kuanzia kuajiriwa kwamba uanzie umri wa 18-25 na wakati hizo ajira hazikutangazwa

Mfano kijana wa chuo cha wanyamapori Mweka analipa ada hadi milioni 8 na zaidi anakaa mtaani haajiriwi na kuna hifadhi 4 zilizopandishwa hadhi kuwa hifadhi za Taifa na mapori tengefu mengi nchini ambayo yana upungufu mkubwa wa watumishi na ukanda wa Kusini ambapo wana tatizo kubwa la uvamizi wa wanyamapori kama Tembo na wengineo lakini vijana wamekuwa hawapewi ajira ukiachilia mbali ahadi ya Rais kwenda kwa Waziri Mkuu Majaliwa ya kutoa kibali cha kuajiri wahifadhi & askari wanyamapori 6,000 bado halijatekelezwa na Umma kujulishwa.

Nawasilisha
 
Wasalaam ,

Hongera mhe Mbunge kwa kutetea tatizo kubwa la ajira hapa nchini hasa ktk Wizara ya Maliasili wakati akichangia Wizara ya Utumishi & Utawala Bora kwamba tatizo la ajira nchini limekuwa janga kubwa ambalo viongozi na watawala wamekuwa hawalipi uzito na umuhimu wake na hasa kigezo cha umri wa kuanzia kuajiriwa kwamba uanzie umri wa 18-25 na wakati hizo ajira hazikutangazwa

Mfano kijana wa chuo cha wanyamapori Mweka analipa ada hadi milioni 8 na zaidi anakaa mtaani haajiriwi na kuna hifadhi 4 zilizopandishwa hadhi kuwa hifadhi za Taifa na mapori tengefu mengi nchini ambayo yana upungufu mkubwa wa watumishi na ukanda wa Kusini ambapo wana tatizo kubwa la uvamizi wa wanyamapori kama Tembo na wengineo lakini vijana wamekuwa hawapewi ajira ukiachilia mbali ahadi ya Rais kwenda kwa Waziri Mkuu Majaliwa ya kutoa kibali cha kuajiri wahifadhi & askari wanyamapori 6,000 bado halijatekelezwa na Umma kujulishwa.

Nawasilisha
Wao wameshiba watakukumbukaje wewe mwenye njaa.
 
Wasalaam ,

Hongera mhe Mbunge kwa kutetea tatizo kubwa la ajira hapa nchini hasa ktk Wizara ya Maliasili wakati akichangia Wizara ya Utumishi & Utawala Bora kwamba tatizo la ajira nchini limekuwa janga kubwa ambalo viongozi na watawala wamekuwa hawalipi uzito na umuhimu wake na hasa kigezo cha umri wa kuanzia kuajiriwa kwamba uanzie umri wa 18-25 na wakati hizo ajira hazikutangazwa

Mfano kijana wa chuo cha wanyamapori Mweka analipa ada hadi milioni 8 na zaidi anakaa mtaani haajiriwi na kuna hifadhi 4 zilizopandishwa hadhi kuwa hifadhi za Taifa na mapori tengefu mengi nchini ambayo yana upungufu mkubwa wa watumishi na ukanda wa Kusini ambapo wana tatizo kubwa la uvamizi wa wanyamapori kama Tembo na wengineo lakini vijana wamekuwa hawapewi ajira ukiachilia mbali ahadi ya Rais kwenda kwa Waziri Mkuu Majaliwa ya kutoa kibali cha kuajiri wahifadhi & askari wanyamapori 6,000 bado halijatekelezwa na Umma kujulishwa.

Nawasilisha
Kusoma Mweka College of African Wildlife Management na kulipa milioni nane,sio sababu ya kulazimisha kupata ajira!
Bali ajira iangalie weledi na ufaulu wa mhusika!

Nchi hii tumeendekeza vyeti hadi sasa wabunge wanaona sifa kununua PHD,wakati itendaji wao ukiwa 13% ya walichotakiwa kutimiza.

Na uelewe kwamba,mtu aliyesoma mweka,hawezi kwenda kufukuzana na jangili,bali anakwenda kukaa ofisini na kupiga hela tu.

Hitaji kubwa mi askari wanyamapori na sio wahifadhi.
Askari wanapatikana kutoka JKT kibao nao pia wanao uhitaji wa ajira kama watanzania wengineo.
 
Kusoma Mweka College of African Wildlife Management na kulipa milioni nane,sio sababu ya kulazimisha kupata ajira!
Bali ajira iangalie weledi na ufaulu wa mhusika!

Nchi hii tumeendekeza vyeti hadi sasa wabunge wanaona sifa kununua PHD,wakati itendaji wao ukiwa 13% ya walichotakiwa kutimiza.

Na uelewe kwamba,mtu aliyesoma mweka,hawezi kwenda kufukuzana na jangili,bali anakwenda kukaa ofisini na kupiga hela tu.

Hitaji kubwa mi askari wanyamapori na sio wahifadhi.
Askari wanapatikana kutoka JKT kibao nao pia wanao uhitaji wa ajira kama watanzania wengineo.
Level za mafunzo ya mweka ni ya ngazi za kimataifa wanachuo wa mataifa mbalimbali husoma pale pia mafunzo ya kiustadi ya askari ni maalum kiuhifadhi sio kama ya Jkt kupiga kwata tu lkn knowledge ya maswala ya kiuhifadhi hawana pia training za wanachuo hufanyika ktk hifadhi za Taifa mafunzo 60% theory 40%
 
Wao wameshiba watakukumbukaje wewe mwenye njaa.
Kabisa ,inasikitisha kwamba fedha za kuajiri vjn hamna mnatakiwa mjiajiri shangao wanaosema nao wameajiriwa halafu pia fedha za kufuja zipo kwa wachache kufuja kupitia ripoti za CAG
 
Wasalaam ,

Hongera mhe Mbunge kwa kutetea tatizo kubwa la ajira hapa nchini hasa ktk Wizara ya Maliasili wakati akichangia Wizara ya Utumishi & Utawala Bora kwamba tatizo la ajira nchini limekuwa janga kubwa ambalo viongozi na watawala wamekuwa hawalipi uzito na umuhimu wake na hasa kigezo cha umri wa kuanzia kuajiriwa kwamba uanzie umri wa 18-25 na wakati hizo ajira hazikutangazwa

Mfano kijana wa chuo cha wanyamapori Mweka analipa ada hadi milioni 8 na zaidi anakaa mtaani haajiriwi na kuna hifadhi 4 zilizopandishwa hadhi kuwa hifadhi za Taifa na mapori tengefu mengi nchini ambayo yana upungufu mkubwa wa watumishi na ukanda wa Kusini ambapo wana tatizo kubwa la uvamizi wa wanyamapori kama Tembo na wengineo lakini vijana wamekuwa hawapewi ajira ukiachilia mbali ahadi ya Rais kwenda kwa Waziri Mkuu Majaliwa ya kutoa kibali cha kuajiri wahifadhi & askari wanyamapori 6,000 bado halijatekelezwa na Umma kujulishwa.

Nawasilisha
Msaliti ni msaliti tu
 
Wasalaam ,

Hongera mhe Mbunge kwa kutetea tatizo kubwa la ajira hapa nchini hasa ktk Wizara ya Maliasili wakati akichangia Wizara ya Utumishi & Utawala Bora kwamba tatizo la ajira nchini limekuwa janga kubwa ambalo viongozi na watawala wamekuwa hawalipi uzito na umuhimu wake na hasa kigezo cha umri wa kuanzia kuajiriwa kwamba uanzie umri wa 18-25 na wakati hizo ajira hazikutangazwa

Mfano kijana wa chuo cha wanyamapori Mweka analipa ada hadi milioni 8 na zaidi anakaa mtaani haajiriwi na kuna hifadhi 4 zilizopandishwa hadhi kuwa hifadhi za Taifa na mapori tengefu mengi nchini ambayo yana upungufu mkubwa wa watumishi na ukanda wa Kusini ambapo wana tatizo kubwa la uvamizi wa wanyamapori kama Tembo na wengineo lakini vijana wamekuwa hawapewi ajira ukiachilia mbali ahadi ya Rais kwenda kwa Waziri Mkuu Majaliwa ya kutoa kibali cha kuajiri wahifadhi & askari wanyamapori 6,000 bado halijatekelezwa na Umma kujulishwa.

Nawasilisha
Rufiji dam kaula
 
Back
Top Bottom