Heko za Sikukuu πŸŽ„ kwa Wadada na Wamama....

Asante sana, kwa wote tulionhia jikoni.

Nami nimepika pilau na kitimoto safi kabisaa.

Heko kwako mwanadada...

Mwanamke mapishi...

Ya tumbo halafu yanafata mapishi ya kiuno I....πŸ˜…πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ
 
Nmeona baada ya kuonjeshwa zile chocolate kipindi umetokea kuzipenda 😊😊 unazifata mwenyewe

🀣🀣🀣🀣🀣

Acha hizoooo

Kinywaji kinagoma kupanda kwenye uzi, ngoja nijaribu tena...



Kuyaa na bilauri...πŸ₯‚πŸ₯‚
 
Reactions: Lee
Huyu ndo mwenyewe sasa , baadae lazma upandishe uzi mwingine baada ya kushibishwaaaaaaa

Najizuia sana siku hizi ...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Reactions: Lee
Haiwezekqni napinga....ushafanyiwaaa vizuri na vinono mbona keyboard itaongeaaa.,just wait

Aahahahahahhaaaa

Sikubishii wala sikubaliani na wewe....
 
Reactions: Lee
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…