Walisema waungwana ukiona vyaelea vimeundwa.
Siyo siri wenzetu Zenji wako vizuri na katika njia yao salama ya ukombozi iliyo wazi:
"Zanzibar wanataka mamlaka yao kamili na wamejipanga kwa ajili ya hilo."
Kwenye mapambano yao wanapigana bega kwa bega na bila ya tashwishi.
Sisi hatukujifunza JKNIA wala Kiluvya? Kwani wabara wale walifikaje huko pamoja na vitisho vyote vya Sirro, mwendazake na yale magenge yao ya wasiojulikana?
Tunapopapasa gizani, ni vyema kurudi nyuma kupatambua kwa usahihi ni wapi tulipokwamia.
Walisema waungwana kuteleza si kuanguka.
Siyo siri wenzetu Zenji wako vizuri na katika njia yao salama ya ukombozi iliyo wazi:
"Zanzibar wanataka mamlaka yao kamili na wamejipanga kwa ajili ya hilo."
Kwenye mapambano yao wanapigana bega kwa bega na bila ya tashwishi.
Sisi hatukujifunza JKNIA wala Kiluvya? Kwani wabara wale walifikaje huko pamoja na vitisho vyote vya Sirro, mwendazake na yale magenge yao ya wasiojulikana?
Tunapopapasa gizani, ni vyema kurudi nyuma kupatambua kwa usahihi ni wapi tulipokwamia.
Walisema waungwana kuteleza si kuanguka.