Hela inayotumwa na Wakenya walio nje ya nchi yapita mapato mengine yote

Hela inayotumwa na Wakenya walio nje ya nchi yapita mapato mengine yote

Hata mimi nina paypal ya kenya na watu zaidi ya 10 nnaowafahamau wana paypal za kenya.
Sisi tuko ado ado
Sasa Nafaka mbona tunaumbuana tena aisee? Najua ktk hiyo idadi utakuwa umenijumlisha na mimi. Kwani si tumekubaliana kuwa hii kitu tuifanye kwa siri kubwa mno bro. Usikute kitendo cha kupokea pesa yako halali kwa kupitia PayPal/safaricom ni kosa la kimtandao...
 
So u also jumped on de bandwagon that Tz has abolished swahili in schools. Hamna iyo kitu. Itabaki ilivo milele. Sanasana English will be banned. Uchumi utakua tu bila kutegemea diasporans

I didn't say it was banned.
But using Kiswahili as a medium of instruction is stupid.
Explains why TZ is totally uncompetitive in the global professional world.
 
That's about 10 times more than Tanzania gets.
Wacha watoto wao wafunzwe kingereza.

Perhaps by 2050 they can also dream of such numbers.
Mje kununua mbolea mpate kulima na kuvuna vizuri
 
Back
Top Bottom