Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
Ukifatilia familia nyingi zinaishi kwa kutegemea ndugu zao waliopo dar es Salaam.
Hivyo mipango mikakati kwa serikali kuendelea kuwekeza DSM iendelee bila kusita.
Mimi Moja ya wanafuika wa kuwa na ndugu wanaoishi DSM
Asante nipo mkoani kwa sasa mbarikiwe Sana watu DSM
Hivyo mipango mikakati kwa serikali kuendelea kuwekeza DSM iendelee bila kusita.
Mimi Moja ya wanafuika wa kuwa na ndugu wanaoishi DSM
Asante nipo mkoani kwa sasa mbarikiwe Sana watu DSM