Hela tunayoipata Dar nyingi tunaipeleka mikoani kusaidia ndugu zetu wenye hali ngumu ya maisha

Hela tunayoipata Dar nyingi tunaipeleka mikoani kusaidia ndugu zetu wenye hali ngumu ya maisha

Mungu niguse

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
272
Reaction score
729
Ukifatilia familia nyingi zinaishi kwa kutegemea ndugu zao waliopo dar es Salaam.

Hivyo mipango mikakati kwa serikali kuendelea kuwekeza DSM iendelee bila kusita.

Mimi Moja ya wanafuika wa kuwa na ndugu wanaoishi DSM

Asante nipo mkoani kwa sasa mbarikiwe Sana watu DSM
 
Ukifatilia familia nyingi zinaishi kwa kutegemea ndugu zao waliopo dar es Salaam.

Hivyo mipango mikakati kwa serikali kuendelea kuwekeza DSM iendelee bila kusita.

Mimi Moja ya wanafuika wa kuwa na ndugu wanaoishi DSM

Asante nipo mkoani kwa sasa mbarikiwe Sana watu DSM
Acha kutusingizia,virobs vya mchele,Mahindi,Maharage nk,tunsvyowaletea hamshuru tuu watu kushindia chpsi!
 
Puuzeni uzushi! Huu asilimia kubwa ya watu wa Dsm wanatutegemea watu wa mikoani ili wapate cash na maisha
 
Back
Top Bottom