Hela ya kuomba unanipelekesha utafikiri unanidai

Hela ya kuomba unanipelekesha utafikiri unanidai

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Huyu mdada sijui ana matatizo ya aina gani yani akiniambia "nikuambie kitu" basi ataomba hela. Hata kama sijamkubalia au kumkatalia ataanza na mi msg kutwa kucha kukumbushia utazani kuna hela ananidai aliniazima.

Au anaweza tu akaamua akatuma msg "nakuja leo" utafikiri labda kuna hela kaweka huku aje kuchukua, na akija ghafla usipompa hela atakudai kama ulimkopa vile.

1625727559905.png

 
Jamii Forums kuna classroom spesho kwaajili ya kutoa mafunzo ya kijasusi ya kupangua vizinga (Kupangua jab na uppercut za uso). Unaweza ukaji subscribe bure kabisa bila malipo kupitia link hii.

 
Mkuu mbona kama wamzungumzia x wangu ..yaani alikua hivo hivo aisee..analalamikaa utazan kanikopesha .akidaiwa hata ela mchezo lawama kwangu kama mm ndio nimemwambia acheze..luku ikiisha naulizwa atalala vipi bila umeme mpaka analia. Mwisho niliona anamatatizo ya kisaikolojia maana ilikua too much
 
Kutoa ni sifa ya mwanaume aliyekamilika, hawa wanawake wanaamini sisi tunacho kila wanachoitaji.
 
Hadi tunaogopa kusalimia au kuitika salamu

Ukianzisha au kuitika tu salamu kifuatacho ni kilio na kusaga meno

Utasumbuliwa utafikiri una figo yake dah
Eti dah! HA HA HAAA
 
Hio nakuunga mkono blaza mie kuna dem nilishawahi kuwa nae kwenye mahusiano Strong, tatizo lake alikua anapenda hela sio kawaida yani kama kujitoa mzee nilijitoa sio poa mpka nikaanza kujistukia lakini mwenzangu ndo kwanza haoni, sasa basi siku moja aliniambia anashida na hela afu mda huo inshu niliokua nafanya ikaniletea hasara kubwa mpka niliuguaga asee kama mnavyojua ukikutana na strong finacial catastophies its hard to bounce back to the normal situation basi demu akawa anawaka eti anataka hio ela mpka akaja akasema tuachane afu ukizingatia mda huo siko vizur kabisa bado naumwa yani kisa hio ela ya kuomba afu istoshe labda angesema nmemzungusha hata mwezi yani ilikua wiki moja tu Tokea siku hyo Nikishakula demu tu sitoi Care tena kama atataka Pipe tings atanitafuta SO WANAUME JUEN HIZI DEMU NI SCAM
 
Back
Top Bottom