Hela ya kuomba unanipelekesha utafikiri unanidai

Hela ya kuomba unanipelekesha utafikiri unanidai

Mkuu mbona kama wamzungumzia x wangu ..yaani alikua hivo hivo aisee..analalamikaa utazan kanikopesha .akidaiwa hata ela mchezo lawama kwangu kama mm ndio nimemwambia acheze..luku ikiisha naulizwa atalala vipi bila umeme mpaka analia. Mwisho niliona anamatatizo ya kisaikolojia maana ilikua too much
...Ndio huwa Wanaishia kuendewa Kwa Mpalange hawa !!![emoji20][emoji20]
Too Much!
 
K siku hizi ni ajira. Hujasikia usemi kwamba "hapa mjini msingi ni kiuno??"
 
Hana hela huyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan mtu mwenye hela huwezi kukuta anaanzisha nyuzi kama hizi, afu ukute ela anayolalamikia ni efu 10,20,15, basi akitoa anaona katoooooaa🤣🤣🤣
 
Yaan mtu mwenye hela huwezi kukuta anaanzisha nyuzi kama hizi, afu ukute ela anayolalamikia ni efu 10,20,15, basi akitoa anaona katoooooaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini nitoe?... periodt.....
 
Back
Top Bottom