Hela ya kuomba unanipelekesha utafikiri unanidai

...Ndio huwa Wanaishia kuendewa Kwa Mpalange hawa !!![emoji20][emoji20]
Too Much!
 
K siku hizi ni ajira. Hujasikia usemi kwamba "hapa mjini msingi ni kiuno??"
 
Hana hela huyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan mtu mwenye hela huwezi kukuta anaanzisha nyuzi kama hizi, afu ukute ela anayolalamikia ni efu 10,20,15, basi akitoa anaona katoooooaa🤣🤣🤣
 
Yaan mtu mwenye hela huwezi kukuta anaanzisha nyuzi kama hizi, afu ukute ela anayolalamikia ni efu 10,20,15, basi akitoa anaona katoooooaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini nitoe?... periodt.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…