Mimi nikiangalia muvi za wazungu naumia sana sijawahi kuona demu anapiga mzinga boyfriend wake sisi sijui wafrika tumelaaniwa na naniHakunaga hela nyingi, hela itosheleze mahitaji ya kawaida ya kibinadamu ata ikiwezekana na ya anasa iwepo kwani nan asopenda vitu vizuri
Wewe bado mvulana na hela huna....siku ukipata ndo utajua maana ya kuwa mwanaumeKwanini nitoe?... periodt.....
Unaishi kwa movie za wazungu kwani we mzungu? We fanya kadri ya utamaduni uliopo kama huna ela subiri upate wa kuvumilia hali yako. Ishi kama ilivozoeleka mwanamke ni wa kuhudumiwa tu hata km atajiweza vipi jitaidi ata apate chupi ya efu3 ndo utakuwa mwanaumeMimi nikiangalia muvi za wazungu naumia sana sijawahi kuona demu anapiga mzinga boyfriend wake sisi sijui wafrika tumelaaniwa na nani
Hapana waafrika mmejizoesha kutegemea k kama kitega uchumi najua tatizo ni umaskini na hili ni tatizo la nchi nyingi za third world, scandnavia na nchi zilizoendelea mademu hawana mambo yenu hayo kupiga mizingaUnaishi kwa movie za wazungu kwani we mzungu? We fanya kadri ya utamaduni uliopo kama huna ela subiri upate wa kuvumilia hali yako. Ishi kama ilivozoeleka mwanamke ni wa kuhudumiwa tu hata km atajiweza vipi jitaidi ata apate chupi ya efu3 ndo utakuwa mwanaume
Na mbunye kula ya mkeo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]Hela nampa mke wangu tu
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan mtu mwenye hela huwezi kukuta anaanzisha nyuzi kama hizi, afu ukute ela anayolalamikia ni efu 10,20,15, basi akitoa anaona katoooooaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeh nakula ya mke wangu za nje situmii😅😅😅Na mbunye kula ya mkeo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtaani kwao anakuita Danga lake.Huyu mdada sijui ana matatizo ya aina gani yani akiniambia "nikuambie kitu" basi ataomba hela. Hata kama sijamkubalia au kumkatalia ataanza na mi msg kutwa kucha kukumbushia utazani kuna hela ananidai aliniazima.
Au anaweza tu akaamua akatuma msg "nakuja leo" utafikiri labda kuna hela kaweka huku aje kuchukua, na akija ghafla usipompa hela atakudai kama ulimkopa vile.
Hapo sawa [emoji23][emoji23][emoji23]Eeh nakula ya mke wangu za nje situmii[emoji28][emoji28][emoji28]