Hela ya kuwalipa akina Morrison na Doumbia huna huyu Makabi Lilepo ndiyo Ungempata?

Hela ya kuwalipa akina Morrison na Doumbia huna huyu Makabi Lilepo ndiyo Ungempata?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na Mashabiki wa Timu yako wengi wao wasivyo na Akili wakaanza Kuamini kuwa Five Five za Kubahatisha FC watamsajili Kiungo Mshambuliaji Makabi Lilepo na hatimaye dirisha la Usajili limepita Jana hajaja.

Haya haraka sana tafuteni Pesa za Kuwalipa akina Morrison na Doumbia kabla hawajaenda FIFA na Safari hii mkapigwa Rungu Takatifu kwani Timu yenu sasa hivi itaanza kuitwa Dhulumati Danganya Kutwa FC sawa?

Na Ligi Kuu ya NBC ikirejea tu unakutana na wenye Njaa na Hasira akina Namungo FC na Azam FC hivyo tutaona kama Utawaokota kama Ulivyowaokota hao Mabwege wa Mwenge Kituoni na wale Malofa wa Mlalakuwa Kawe na Kutwa unajisifia na Kutamba wakati Tanga ulikutana na Mbabe wako King of the Jungle na akakunyoosha ipasavyo na Nyama Kubwa akaila Yeye huku Wewe ukibakia Kusonya tu.
 
Na Mashabiki wa Timu yako wengi wao wasivyo na Akili wakaanza Kuamini kuwa Five Five za Kubahatisha FC watamsajili Kiungo Mshambuliaji Makabi Lilepo na hatimaye dirisha la Usajili limepita Jana hajaja.

Haya haraka sana tafuteni Pesa za Kuwalipa akina Morrison na Doumbia kabla hawajaenda FIFA na Safari hii mkapigwa Rungu Takatifu kwani Timu yenu sasa hivi itaanza kuitwa Dhulumati Danganya Kutwa FC sawa?

Na Ligi Kuu ya NBC ikirejea tu unakutana na wenye Njaa na Hasira akina Namungo FC na Azam FC hivyo tutaona kama Utawaokota kama Ulivyowaokota hao Mabwege wa Mwenge Kituoni na wale Malofa wa Mlalakuwa Kawe na Kutwa unajisifia na Kutamba wakati Tanga ulikutana na Mbabe wako King of the Jungle na akakunyoosha ipasavyo na Nyama Kubwa akaila Yeye huku Wewe ukibakia Kusonya tu.

Nilishaleta mada siku moja kwamba yule mwanasheria wa yanga ni kilaza sana
 
36905178.jpg
 
Asante kwa kunipa nafasi ya kuongeza kidogo mkuu Genta, Birimana ameshinda kesi FIFA five five ya kubahatisha FC wamepewa siku 45 wawe washamlipa, la sivyo wanachomekwa mwiko nyuma na FIFA
 
Na Mashabiki wa Timu yako wengi wao wasivyo na Akili wakaanza Kuamini kuwa Five Five za Kubahatisha FC watamsajili Kiungo Mshambuliaji Makabi Lilepo na hatimaye dirisha la Usajili limepita Jana hajaja.

Haya haraka sana tafuteni Pesa za Kuwalipa akina Morrison na Doumbia kabla hawajaenda FIFA na Safari hii mkapigwa Rungu Takatifu kwani Timu yenu sasa hivi itaanza kuitwa Dhulumati Danganya Kutwa FC sawa?

Na Ligi Kuu ya NBC ikirejea tu unakutana na wenye Njaa na Hasira akina Namungo FC na Azam FC hivyo tutaona kama Utawaokota kama Ulivyowaokota hao Mabwege wa Mwenge Kituoni na wale Malofa wa Mlalakuwa Kawe na Kutwa unajisifia na Kutamba wakati Tanga ulikutana na Mbabe wako King of the Jungle na akakunyoosha ipasavyo na Nyama Kubwa akaila Yeye huku Wewe ukibakia Kusonya tu.
Aahaaaa,
 
Na Mashabiki wa Timu yako wengi wao wasivyo na Akili wakaanza Kuamini kuwa Five Five za Kubahatisha FC watamsajili Kiungo Mshambuliaji Makabi Lilepo na hatimaye dirisha la Usajili limepita Jana hajaja.

Haya haraka sana tafuteni Pesa za Kuwalipa akina Morrison na Doumbia kabla hawajaenda FIFA na Safari hii mkapigwa Rungu Takatifu kwani Timu yenu sasa hivi itaanza kuitwa Dhulumati Danganya Kutwa FC sawa?

Na Ligi Kuu ya NBC ikirejea tu unakutana na wenye Njaa na Hasira akina Namungo FC na Azam FC hivyo tutaona kama Utawaokota kama Ulivyowaokota hao Mabwege wa Mwenge Kituoni na wale Malofa wa Mlalakuwa Kawe na Kutwa unajisifia na Kutamba wakati Tanga ulikutana na Mbabe wako King of the Jungle na akakunyoosha ipasavyo na Nyama Kubwa akaila Yeye huku Wewe ukibakia Kusonya tu.
Acha mbwembwe wakati nyumbani Khali dhoofu likhali,mwenzio Cabo Delgardo analia hata kuzirai na kusaidiwa kupumua kwa mashine,kisa umakolo wa usajili na picha alionao hapo mbele😂
 
Gamondi Hamna Kitu mule...Disemba Akifika yule Akatambike Argentina..!

Ngao Ya Nabi Keshanyang'anywa.....

Na Kazi ya Kunyang'anya Mataji Mengine inaendelea....

Kifupi Kwa Sasa baada ya Kufika hapo... mwendo Lzm uwe kuelekea down..Utopolo huu ni Ukweli mchungu..!

Japo Mnatiwa moyo na Wachambuzi Wa Mchongo wanaowaambia mmefanikiwa Wakati 10 bora CAF hampo.! Makundi CL CAF hamjaingia for more than 25YRS...
 
Gamondi Hamna Kitu mule...Disemba Akifika yule Akatambike Argentina..!

Ngao Ya Nabi Keshanyang'anywa.....

Na Kazi ya Kunyang'anya Mataji Mengine inaendelea....

Kifupi Kwa Sasa baada ya Kufika hapo... mwendo Lzm uwe kuelekea down..Utopolo huu ni Ukweli mchungu..!

Japo Mnatiwa moyo na Wachambuzi Wa Mchongo wanaowaambia mmefanikiwa Wakati 10 bora CAF hampo.! Makundi CL CAF hamjaingia for more than 25YRS...

Yaani umeandika kwa hasira za wivu na hakuna fact hata moja.

1) Gamond hamna kitu kivipi? Yanga hawachezi mpira? Hawashindi? Kocha hana mbinu? Au ni lipi la ziada ya kumfanya awe hakuna kitu?
2) huyo Nabi ambaye wanasimba mnatumia kama kielezo cha kocha bora, alipoingia Yanga, mashabiki wa Simba mliongea maneno mengi ikiwemo ya kumfukuzisha kazi Al Merrikh na wote mlisema hamna kocha humo ila mwisho saivi nyimbo nyingi Nabi Nabi. Na hata Nabi alipoingia Yanga hakupata mafanikio ya hapo kwa papo aliitengeneza timu kwanza.

3) Ngao ya jamii ni ufunguzi wa pazia jipya la msimu hivyo pazia limefunguliwa tuone nani atavuna kipi na mpaka sasa Yanga yupo kwenye mwenendo mzuri akiwa anaongoza ligi, hilo la ngao ya jamii ni furaha iliyopita tupo kwenye ligi sasa hakuna matuta ili kumpata mshindi bali ni mwendo wa point tatu na ukusanyaji wa magoli mengi tu.

Swala la Yanga kuingia 10 bora CAF ni swala la muda tu, Yanga ametoka kwenye nafasi ya 75 kafika hadi nafasi ya 18 katika ubora wa CAF ndani ya msimu mmoja tu. Kutoka 18 hadi 10 ni gap ndogo sana usije ukaongea ukamaliza ipo siku hiko kichaka cha rank ya CAF mtakuwa mmepoteana vile vile.
 
Na Mashabiki wa Timu yako wengi wao wasivyo na Akili wakaanza Kuamini kuwa Five Five za Kubahatisha FC watamsajili Kiungo Mshambuliaji Makabi Lilepo na hatimaye dirisha la Usajili limepita Jana hajaja.

Haya haraka sana tafuteni Pesa za Kuwalipa akina Morrison na Doumbia kabla hawajaenda FIFA na Safari hii mkapigwa Rungu Takatifu kwani Timu yenu sasa hivi itaanza kuitwa Dhulumati Danganya Kutwa FC sawa?

Na Ligi Kuu ya NBC ikirejea tu unakutana na wenye Njaa na Hasira akina Namungo FC na Azam FC hivyo tutaona kama Utawaokota kama Ulivyowaokota hao Mabwege wa Mwenge Kituoni na wale Malofa wa Mlalakuwa Kawe na Kutwa unajisifia na Kutamba wakati Tanga ulikutana na Mbabe wako King of the Jungle na akakunyoosha ipasavyo na Nyama Kubwa akaila Yeye huku Wewe ukibakia Kusonya tu.
Nakukumbusha tu huyo Azam unayemuona ana njaa, Yanga kaishamlamba goli mbili kavu juzi tu. Tafuta timu nyingine ya kumpa dhamana
 
Nakukumbusha tu huyo Azam unayemuona ana njaa, Yanga kaishamlamba goli mbili kavu juzi tu. Tafuta timu nyingine ya kumpa dhamana
Wanafunga timu zooote Ila kwa mnyama ndio wanakwama sio?😂😂

Kiroho kinawadunda wakisikia kuna mechi yao na Simba
 
Gakiwashinda mnagawacha ya nini kujitafutia presha , sonona , kiharusi kisa litimu lililoshindikana Afrika Mashariki na kati hamuwezi kuishinda Yanga kwa kuja na vijembe vyenu kama majimama ya kwenye taarabu waambieni makocha wenu warudi madarasani.
 
Yaani umeandika kwa hasira za wivu na hakuna fact hata moja.

1) Gamond hamna kitu kivipi? Yanga hawachezi mpira? Hawashindi? Kocha hana mbinu? Au ni lipi la ziada ya kumfanya awe hakuna kitu?
2) huyo Nabi ambaye wanasimba mnatumia kama kielezo cha kocha bora, alipoingia Yanga mliongea maneno mengi ikiwemo ya kumfukuzisha kazi Al Merrikh na wote mlisema hamna kocha humo ila mwisho saivi nyimbo nyingi Nabi Nabi. Na hata Nabi alipoingia Yanga hakupata mafanikio ya hapo kwa papo aliitengeneza timu kwanza.

3) Ngao ya jamii ni ufunguzi wa pazia jipya la msimu hivyo pazia limefunguliwa tuone nani atavuna kipi na mpaka sasa Yanga yupo kwenye mwenendo mzuri akiwa anaongoza ligi, hilo la ngao ya jamii ni furaha iliyopita tupo kwenye ligi sasa hakuna matuta ili kumpata mshindi bali ni mwendo wa point tatu na ukusanyaji wa magoli mengi tu.

Swala la Yanga kuingia 10 bora CAF ni swala la muda tu, Yanga ametoka kwenye nafasi ya 75 kafika hadi nafasi ya 18 katika ubora wa CAF ndani ya msimu mmoja tu. Kutoka 18 hadi 10 ni gap ndogo sana usije ukaongea ukamaliza ipo siku hiko kichaka cha rank ya CAF mtakuwa mmepoteana vile vile.
Hivi kwa mfano ilatokea Yanga akaingia semi final champions league anaweza akawa wa ngap kwenye rank za CAF?
 
Hivi kwa mfano ilatokea Yanga akaingia semi final champions league anaweza akawa wa ngap kwenye rank za CAF?
Kwasasa Yanga wana point 20 kama ikitokea watacheza robo fainali watakuwa wamevuna point 15 ndani ya misimu huu hivyo watskuwa na point 31. Kama ikitokea watacheza nusu fainali kama ulivyouliza basi watakuwa wamevuna point 20 ndani ya msimu huu na kuwa na jumla ya point 36
 
Back
Top Bottom