chukulia kawaida tu mkuuMkuu we noma
mie sizitaki wala msinipe.Rais Magufuli amesema .. MIGODI imetuibia MAPATO ya Tsh Trillion 108.
Amesema hizo hela Tuzidai .. Na kuna tetesi zikipatikana zitagaiwa sawa kwa Raia Watanzania wote million 50.
Hapo kila Mtanzania atapata Million 2..
"Ila mimi kama Kuna mtu yupo tayari anipe saiv milioni 1 na nusu tu, alafu mgao wangu wa hio milioni 2 ukitoka atachukua yeye yote".
Subiria Mkuu, ngoja nikope na mimi huku mtaani. Wakinidai, nawaambia jaman mi mwenyewe namdai Rais milion 2 kama vipi twende ikulu tukachukue.Mkuu we noma
Elimu bureee na kichwani tunakuwa bureee! Ni shida Mkuu.Viongozi wa hii nchi wanajua asilimia 70 ya wananchi ni wajinga ndio maana wanafanya haya wanayo yafanya leo
Angalia Kenya akili zao ziko juu wanasiasa na siasa haziwachezei
Rais Magufuli amesema .. MIGODI imetuibia MAPATO ya Tsh Trillion 108.
Amesema hizo hela Tuzidai .. Na kuna tetesi zikipatikana zitagaiwa sawa kwa Raia Watanzania wote million 50.
Hapo kila Mtanzania atapata Million 2..
"Ila mimi kama Kuna mtu yupo tayari anipe saiv milioni 1 na nusu tu, alafu mgao wangu wa hio milioni 2 ukitoka atachukua yeye yote".