Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Rais Magufuli amesema .. MIGODI imetuibia MAPATO ya Tsh Trillion 108.
Amesema hizo hela Tuzidai .. Na kuna tetesi zikipatikana zitagaiwa sawa kwa Raia Watanzania wote million 50.
Hapo kila Mtanzania atapata Million 2..
"Ila mimi kama Kuna mtu yupo tayari anipe saiv milioni 1 na nusu tu, alafu mgao wangu wa hio milioni 2 ukitoka atachukua yeye yote".
Amesema hizo hela Tuzidai .. Na kuna tetesi zikipatikana zitagaiwa sawa kwa Raia Watanzania wote million 50.
Hapo kila Mtanzania atapata Million 2..
"Ila mimi kama Kuna mtu yupo tayari anipe saiv milioni 1 na nusu tu, alafu mgao wangu wa hio milioni 2 ukitoka atachukua yeye yote".