Hela ya malazi na chakula nyingi, matumizi yako ndio huifanya ionekane ndogo

Hela ya malazi na chakula nyingi, matumizi yako ndio huifanya ionekane ndogo

muhinda-moja

Senior Member
Joined
Sep 22, 2014
Posts
117
Reaction score
9
Kwa first year nahisis mshawahi kusikia wakubwa zenu wanaongelea boom,kama ww ni mdadisi basi nahis unajua,ok!

Nilichotaka kuongelea ni matumizi ya hilo boom, yaan hiyo tsh 7500 kwa siku,kiufupi ndugu zangu kwa matumizi ya kawaida kwa mwanafunzi hiyo hela ni kubwa ILA ukibugi tu kwenye matumizi basi utaiona ni ndogo sana kwani ikumbukwe hata kama ukipewa tsh 10000,ila ukawa na matumizi mabaya nayo itaisha,

JE WAHITAJI KUJUA NAMNA UTAKAVYOTUMIA HIYO HELA NA HATIMAYE UIONE KUBWA NA PENGINE UBAKIWE NA SALIO?

Nakaribisha maswali!
 
Hivi kwani hiyo 7500 inaingia mfukoni kwa mwanafunzi kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

Kwa ufahamu; Kuna matumizi ya kulipa accommodation,stationery na chakula humo humo.

Kwa hiyo tuwe makini tunapoichambua matumizi ya hizo pesa.
 
Hivi kwani hiyo 7500 inaingia mfukoni kwa mwanafunzi kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
Kwa ufahamu;
Kuna matumizi ya kulipa accommodation,stationery na chakula humo humo.
Kwa hiyo tuwe makini tunapoichambua matumizi ya hizo pesa.

Hiyo pesa haihusishi stationery bali accomodation ambayo ni tsh.500,na tsh.7000 ni kwa chakula tu!
 
Umesahau kuwa hiyo pesa inatumika kulipia ada ya chuo.
 
Ile hela haina baraka yani...hata ujibane vipi inaisha.

Na wabongo tunavyojua kubana na kuachia bajeti basi ndo shida.

Yani mtu anajibana kula, anajiachia kwenye mavazi na kusuka.
 
Weng wetu watoto wa wakulma. Hyo pesa tunaipeleka kwenye ada.. z equal to nothing buana
 
Weng wetu watoto wa wakulma. Hyo pesa tunaipeleka kwenye ada.. z equal to nothing buana

Ni kweli wengi wetu tuna elekeza hiyo pesa kwenye ada, lakini mimi nimeongele kwa upande wa chakula haitoshi au inatosha!
 
Naikumbuka sana hiyo hela. Nilikuwa nkiipata sisomi hadi iishe ndo natulia.
 
Back
Top Bottom