ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Unatafuta vita na mh. Mbunge wa low.ntaenda kumhonga wema sepenga
Bila ndoto nitakufa.Hivi unadhani utapewa mkuu?? Endelea kuota hahaha
So generous. Ubarikiwe.Me ntuongezea chenge. Hata maandiko yanasema " mwenye nacho huongezewa......."
aseehBila ndoto nitakufa.
ntaenda kumhonga wema sepenga
Hivi unadhani utapewa mkuu?? Endelea kuota hahaha
Me ntumuongezea Chenge. Hata maandiko yanasema " mwenye nacho huongezewa......."
TanzaNoah....
Ok hivyo utafanyia nini ule mgao.Kila mtu akiwa na gari sheli zitakauka
Hatakuwa na shida atakuwa na zake.Mimi nitampa CHIKIRA MTABARI zote
Basi nitamshikia zikiisha aje kuchukua zanguHatakuwa na shida atakuwa na zake.
Piga kelele eeee.NOAH yangi ipo pale pale, tena VOX nyeusi. Tena sio kitu cha kuongea taratibu.