Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Utateseka sanaLisu ni muhuni mkubwa! Mwanasiasa niliyempnda sana tena sana. lakini kumbe ni hao hao wahuni wa iasa!
Narudia, it was not rigt aliyombagaza Mbowe kwa Uongo ili apate madaraka yasiyo na lolote (san sana mateso yanamsubiri)
View: https://youtu.be/rxUco3lnjq0
Kwani kuna kampeni sahivi? utasubiri snMbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?
Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?
Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
Dua la kuku hiloChadema itafia mikononi mwa Lissu!
2025 hana uwezo wa kupata diwani hata mmoja
Hawa UWT ni wajinga snUtateseka sana
Ikimfia wewe na mumeo mtapata hasara gani?Chadema itafia mikononi mwa Lissu!
2025 hana uwezo wa kupata diwani hata mmoja
Unataka afanye nn, takukuru wanaolipwa mishahara na umma wamekaa ofisini wanakuna vitambi unataka lisu awabebe awapeleke kisutu?Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?
Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?
Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
Mbowe alisema Time will tell
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?
Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?
Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?
Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?
Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
Slaa na mdomo sana,kwa kweli na ninahisi alishajisahau kuwa hakuna serikali!!Mama Abdul kaamua kumfanya Dr. Slaa kuwa Mbuzi wa Kafara.
Asante!😂Mnajitahidi kumbeba ila mbereko lake gumu, tena siyo mtanzania, akisikia mlio wa risasi tuu mtamkuta ubelijiji.
Asante!😂Mnajitahidi kumbeba ila mbereko lake gumu, tena siyo mtanzania, akisikia mlio wa risasi tuu mtamkuta ubelijiji.
Slaa na mdomo sana,kwa kweli na ninahisi alishajisahau kuwa Kuna serikali!!
Ukiambiwa utaje yale ambayo Lissu amempakazia uongo FAM wakati wa kamapeni unabaki kukasirika na kutoa maneno ya ovyo ovyo, umebaki mpiga kelele bila vielelezo.