Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
Habari wanajamii forums hopefully mko fine.
Leo nilitaka kuwaambia wanaume wenzangu ambao walikuwa na maswali kama
1. KWANINI WANAWAKE NI WABAHILI SANA?
2. HIVI WANAWAKE HELA ZAO WANAPELEKA WAPI?
Jibu ni very simple, wanawake wengi hela zao zinaishia kwenye mavazi,vipodozi,na urembo wa kila aina.
Mfano mimi natengeneza sana vidani vya shingoni na mikononi,wanawake wenyewe wananiambia hawawezi kutoa hela yao ya mfukoni kununua unga, chakula wakati baba mwenye nyumba yupo na haya mambo yetu ya urembo ndipo utakapojua wanawake wana hela balaa na sio wagumu hata kidogo kwenye kununua vitu hivi.
Kwa hiyo kama umempenda we mpende tu ila achana na hela zao.Utasikia niache kupendeza nihangaike na mahitaji ya ndani wakati mume wangu yupo.
HAYA NDIO MAJIBU YA MASWALI YENU WANAUME WENZANGU. SAMAHANI SANA WATENGENEZA UREMBO WENZANGU KWA KUTOA SIRI HII
Siku njema kwenu
Leo nilitaka kuwaambia wanaume wenzangu ambao walikuwa na maswali kama
1. KWANINI WANAWAKE NI WABAHILI SANA?
2. HIVI WANAWAKE HELA ZAO WANAPELEKA WAPI?
Jibu ni very simple, wanawake wengi hela zao zinaishia kwenye mavazi,vipodozi,na urembo wa kila aina.
Mfano mimi natengeneza sana vidani vya shingoni na mikononi,wanawake wenyewe wananiambia hawawezi kutoa hela yao ya mfukoni kununua unga, chakula wakati baba mwenye nyumba yupo na haya mambo yetu ya urembo ndipo utakapojua wanawake wana hela balaa na sio wagumu hata kidogo kwenye kununua vitu hivi.
Kwa hiyo kama umempenda we mpende tu ila achana na hela zao.Utasikia niache kupendeza nihangaike na mahitaji ya ndani wakati mume wangu yupo.
HAYA NDIO MAJIBU YA MASWALI YENU WANAUME WENZANGU. SAMAHANI SANA WATENGENEZA UREMBO WENZANGU KWA KUTOA SIRI HII
Siku njema kwenu