Vuta subra hadi kesho hali ikiwa n hiyo hiyo nenda tigoOfisi kama tigo shop? Huduma kwa wateja ukipiga wanasema wanashughulikia ila bado bilabila
Mm mwenyew nimewapigia simu wamesema kuna changamoto baada ya masaa 24, nilijaribu kutoa jana usiku network error mpk sasa iv, Juzi ilitoka fresh tatizo lilianza JanaNimevuta subira tangu jana kesho itakuwa siku ya tatu
Itabidi uende ofisinNimevuta subira tangu jana kesho itakuwa siku ya tatu