Madam secretary
Member
- Mar 6, 2015
- 70
- 221
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kikao cha Uwabata (umoja wa wanaume bahili) kilchokaa hv karbun na mtoa mada kama katibu tulkubaliana wanandoa tulio wachangia wakiachana watuite kama walvyotuita kwenye kamati
Wanajua mtachanga tu. Ndoa zinakua ndoano hasa wakikutana wajuaji.kila mtu anajikwezaHabari zenu wakuu, jamani new brides and grooms naomba liwafikie hili, mwaka Jana classmate wangu alikua anaoa.. nikapewa KADI ya kamati na umaskini wangu nilijipiga laki nzima.
Shuwaini wendawazimu Hawa Jana nimeenda mahakamani kufata kiapo nilikua nabadilisha jina la laini
Si nkawakuta wanadaiana talaka
Ivi mnazichukuliaje hela zetu[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
si ulikula pilau mkuu? ndio chako kiliishia paleHabari zenu wakuu, jamani new brides and grooms naomba liwafikie hili, mwaka Jana classmate wangu alikua anaoa.. nikapewa KADI ya kamati na umaskini wangu nilijipiga laki nzima.
Shuwaini wendawazimu Hawa Jana nimeenda mahakamani kufata kiapo nilikua nabadilisha jina la laini
Si nkawakuta wanadaiana talaka
Ivi mnazichukuliaje hela zetu[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
well said mkuu,,,mimi kanichekesha tu na alikula, kucheza na kufurahiaWewe ndo huna akili Ku invest emotions zako kwenye ndoa za watu..
Kadi ilikuwa ya sherehe ..ulienda ..ukala. .ukacheza mziki baasi..
Usiwapangie waachane lini..
Watu waishi kwenye ndoa ya mateso kisa wewe ulichanga laki??..
Kama alietoa mahari kasema sitaki ..wewe laki yako ndo iwalazimishe waishi huku washachokana?
Hata ajira kampuni inaingia gharama za matangazo inakuajiri unalipwa hela .
Orientation ..na registration Hadi Nssf
Lakini ukizingua unafukuzwa hata kama miezi miwili tu..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Habari zenu wakuu, jamani new brides and grooms naomba liwafikie hili, mwaka Jana classmate wangu alikua anaoa.. nikapewa KADI ya kamati na umaskini wangu nilijipiga laki nzima.
Shuwaini wendawazimu Hawa Jana nimeenda mahakamani kufata kiapo nilikua nabadilisha jina la laini
Si nkawakuta wanadaiana talaka
Ivi mnazichukuliaje hela zetu[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Wallah ningekua Mimi ningemchukua huyo mwanamke nika-compasate mchango wanguHabari zenu wakuu, jamani new brides and grooms naomba liwafikie hili, mwaka Jana classmate wangu alikua anaoa.. nikapewa KADI ya kamati na umaskini wangu nilijipiga laki nzima.
Shuwaini wendawazimu Hawa Jana nimeenda mahakamani kufata kiapo nilikua nabadilisha jina la laini
Si nkawakuta wanadaiana talaka
Ivi mnazichukuliaje hela zetu[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
NakaziaMichango inabidi iwe buku buku kwakweli, unajipinda kumbe mijitu hata haijui maana ya ndoa inajifungia tu ilimradi. Kuna kenge naivutia muda atarudisha tu hela zangu.