Wakuu wanaJF, bila shaka tuna maarifa mbalimbali ambayo naweza sema hutokana na elimu zetu tofauti. Kwa maana hiyo tunaweza kubadilishana uelewa.
Tunajua fedha zinatengenezwa, na zingine zinachakaa. Sasa naombeni kujua ni namna gani fedha (note/coin) mpya zinaingizwa kwenye mfumo?
Na ni busara gani husaidia kujua ni fedha kiasi fulani mpya zitengenezwe?
Mabenki huwa yanatoa mikopo, lakini pesa zinarudi kwa riba. Maana yake ni nyingi zinazorudi benki kuliko zinazotoka (kuingia ktk mzunguko). Ni njia gani hutumika kuhakikisha zipo ktk balance?
Je kama ikitokea pesa zinazowekwa benki (deposit) zikawa chache, kuliko zinazotoka (withdrawal) ni mbinu gani hutumika kuzuia hilo?
WanaJF, najua tupo wengi tusiojua mechanism of money. Kwa wanaojua naombeni kusaidiwa hayo maswali. Na wasio jua km mm, tusaidiane kuongeza maswali.
Tunajua fedha zinatengenezwa, na zingine zinachakaa. Sasa naombeni kujua ni namna gani fedha (note/coin) mpya zinaingizwa kwenye mfumo?
Na ni busara gani husaidia kujua ni fedha kiasi fulani mpya zitengenezwe?
Mabenki huwa yanatoa mikopo, lakini pesa zinarudi kwa riba. Maana yake ni nyingi zinazorudi benki kuliko zinazotoka (kuingia ktk mzunguko). Ni njia gani hutumika kuhakikisha zipo ktk balance?
Je kama ikitokea pesa zinazowekwa benki (deposit) zikawa chache, kuliko zinazotoka (withdrawal) ni mbinu gani hutumika kuzuia hilo?
WanaJF, najua tupo wengi tusiojua mechanism of money. Kwa wanaojua naombeni kusaidiwa hayo maswali. Na wasio jua km mm, tusaidiane kuongeza maswali.